Mapokezi makubwa ya msafara wa pikipiki na magari hapa Mwandiga yanamlaki Gwiji wa siasa Tanzania na Katibu Mkuu wa CHADEMA Dr Wilbroad Slaa kuelekea Kigoma mjini.
Watu wako njiani wakinyoosha vidole viwili hewani, ishara ya kusapoti chama chao. Mapokezi ni makubwa kweli kweli chama kinapewa hapa.
Wenye magari wanaonekana kutoa heshima kwa kuweka magari pembeni na kupiga honi mfululizo wakikaribisha msafara wa Katibu Mkuu.
Mji wa Kigoma uko hai hai sasa. Honi na vidole viwili alama ya amani, upendo na ushindi, zimehanikiza
Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Updates kutoka Mwananchi Breaking News chini......
DR SLAA AITEKA KIGOMA: Awasili jioni hii, apata mapokezi makubwa. Msafara wake una magari zaidi ya 22, Pikipiki 150, magari 4 ya Polisi, ulinzi waimarishwa.
Watu wako njiani wakinyoosha vidole viwili hewani, ishara ya kusapoti chama chao. Mapokezi ni makubwa kweli kweli chama kinapewa hapa.
Wenye magari wanaonekana kutoa heshima kwa kuweka magari pembeni na kupiga honi mfululizo wakikaribisha msafara wa Katibu Mkuu.
Mji wa Kigoma uko hai hai sasa. Honi na vidole viwili alama ya amani, upendo na ushindi, zimehanikiza
Source: Afisa Habari Mkuu CHADEMA Tumaini Makene
Updates kutoka Mwananchi Breaking News chini......
DR SLAA AITEKA KIGOMA: Awasili jioni hii, apata mapokezi makubwa. Msafara wake una magari zaidi ya 22, Pikipiki 150, magari 4 ya Polisi, ulinzi waimarishwa.
Last edited by a moderator: