Bilionea Asigwa
JF-Expert Member
- Sep 21, 2011
- 16,510
- 28,416
Safi sana..
Chadema mwendo mdundo haina kurudi nyuma hii
Chadema mwendo mdundo haina kurudi nyuma hii
​udokta wa kusomea upi usio na graduation?? wasafi wapo wanahudumu makanisani wahuni ndo wanakimbizana mabarabarani malaghai wakubwaCcm wametumia zaidi ya 100M eti kuzuia Dr. Wa kusomea asiingie Kigoma. Mi kijana wangu wa bodaboda anasema wiki hii ni neema kwake maana anapata pesa bure kabisa kutoka kwa ma punguani ccm
..
....Huu ni mpango wa Mungu ...Daima shetani na wafuasi wake hawataweza!!!
hatari mtoto wa kiume kama wewe kuongea ushudu na uongo kama huu dhidi ya mwanaume mwenzio ndo madhara ya mirungi mnayokula hii
hiloo hata aibu huna CCM hatuna mda wa kuwafwatilia vibaka,,,malaghai na walaaniwa hata siku moja
huu ulaghai wenu wapelekeeni wake zenu tumechoka kudanganywa na wachumia tumbo nyie hamna nia ya dhati ya uongozi ni uroho na tamaa zenu huyo BABU aache chuki dhidi ya makabila na dini zingine ndani ya CHADEMA
hatari mtoto wa kiume kama wewe kuongea ushudu na uongo kama huu dhidi ya mwanaume mwenzio ndo madhara ya mirungi mnayokula hii
hatari mtoto wa kiume kama wewe kuongea ushudu na uongo kama huu dhidi ya mwanaume mwenzio ndo madhara ya mirungi mnayokula hii
wale vichaa wa CCM leo hawakupewa zile 20,000? wafanye fujo?
​udokta wa kusomea upi usio na graduation?? wasafi wapo wanahudumu makanisani wahuni ndo wanakimbizana mabarabarani malaghai wakubwa
huu ulaghai wenu wapelekeeni wake zenu tumechoka kudanganywa na wachumia tumbo nyie hamna nia ya dhati ya uongozi ni uroho na tamaa zenu huyo BABU aache chuki dhidi ya makabila na dini zingine ndani ya CHADEMA
Songa mbele kamanda!! Tunataka kiongozi kama huyu..
Huku DAR DC CCM kawakimbia.....pamoja na propaganda zoote hiji za kkijinga lkn watu makini wanazidi kujiunga CDM!
Unatia hata kinyaaa,
ptuuuuuu!
Usimuhusishe MUNGU na hawa matapeli!