Mgombezi
JF-Expert Member
- Mar 23, 2009
- 610
- 178
Mmeshindwa nyamazeni, kwani hamna ubavu wakupambana na CCM nyie. Mlidhania RAIS anachaguliwa kwa vi sms vya humu JF ? mlijipa hope wenyewe kuwa slaa anashinda. Napenda mumpe urais wa JF, hapo vipi ? si unamfaaa?
kumbe ushindi kwa UBAVU!!!!?, tumeelewa....................!!!!!!!!!!!!!!!; see you 2015.