Wakuu wote,mi naona ni vyema tukaanza kujiandaa kumpa urais Dr Slaa 2015.
Serikali hii bado imeshindwa kutatua matatizo yetu ya msingi. Wananchi wameanza kuonja madhara ya kuvaa kofia,T-shirt, kanga za kijani.
Makali ya mgao wa umeme hayaishi tangia uhuru, DOWANS, bidhaa bei juu, maji tatizo, mifereji ya maji taka issue, matibabu issue, kiwango cha elimu kinashuka kila kukicha na mengine mengi. Bado mwananchi huyu huyu atasahau yote 2015. Cha kufanya ni kumwandaa Dr Slaa angalau aingie ikulu 2015.
Hatuna budi kubadilisha mfumo ili tuone utendaji wa wengine pia. CHADEMA inatakiwa ianzishe operation dondora part 2 ili kupata wanancha wa kutosha na pia kufungua matawi mengi nchi nzima. Jamani maisha kwangu ni magumu mno!
Kila kukicha afadhali ya Jana
Serikali hii bado imeshindwa kutatua matatizo yetu ya msingi. Wananchi wameanza kuonja madhara ya kuvaa kofia,T-shirt, kanga za kijani.
Makali ya mgao wa umeme hayaishi tangia uhuru, DOWANS, bidhaa bei juu, maji tatizo, mifereji ya maji taka issue, matibabu issue, kiwango cha elimu kinashuka kila kukicha na mengine mengi. Bado mwananchi huyu huyu atasahau yote 2015. Cha kufanya ni kumwandaa Dr Slaa angalau aingie ikulu 2015.
Hatuna budi kubadilisha mfumo ili tuone utendaji wa wengine pia. CHADEMA inatakiwa ianzishe operation dondora part 2 ili kupata wanancha wa kutosha na pia kufungua matawi mengi nchi nzima. Jamani maisha kwangu ni magumu mno!
Kila kukicha afadhali ya Jana