Andyhophen
Member
- Jun 7, 2011
- 29
- 3
angalalia picha vizur saawaaWewe nawe ni chizi kabisa,kuvaa uhusika ni hvyo?anaowahutubia mbona wako na viatu?KINANA AACHA UTAAHIRA NA TUNAOMBA SANA AWAACHE TEMBO WETU TAFADHALI.
angalalia picha vizur saawaaWewe nawe ni chizi kabisa,kuvaa uhusika ni hvyo?anaowahutubia mbona wako na viatu?KINANA AACHA UTAAHIRA NA TUNAOMBA SANA AWAACHE TEMBO WETU TAFADHALI.
Pole sana Mkuu. Kinana amewashika pabaya sana. Mtu mmoja tu anawafanya UKAWA wakose usingiziKajisema mwenyewe muuaji wa tembo, yeye ni Lifisi liliokubuhu.
Muuaji wa Tembo.
Kinana ni level nyingineKinana amedata na ndiyo maana kila anachoropoka kikwete hatekelezi,anamuona mwehu tu huyo,na hii yote ni laana ya watanzania kuwaibia meno ya tembo.
Pole sana Mkuu. Kinana amewashika pabaya sana. Mtu mmoja tu anawafanya UKAWA wakose usingizi
Hakika Mkuu. Kinana ni aina ya viongozi ambao ni Unique. Tangu awe Katibu Mkuu wa CCM, ushindi kwa kila uchaguzi umekuwa ni kawaidaAbdulrahman Kinana ni mmoja wa wanasiasa smart sana kuwahi kutokea Tanzania, ndio maana akina Mzee Slaa kwenye mikutano ya UKAWA hawaongelei kingine zaidi ya Kinana.
kweli ccm hawana sera badala watengeneze hoja wanambwelambwela. Nimegundua huyu Kina Ana na yule mwenzake yule Munape na Mwigul wa nchemba hawana akili kabisa ccm hovyo kabisa.
Hah hah hah umefanya jioni yangu iwe nzuri.
Abdulrahman Kinana ni mmoja wa wanasiasa smart sana kuwahi kutokea Tanzania, ndio maana akina Mzee Slaa kwenye mikutano ya UKAWA hawaongelei kingine zaidi ya Kinana.
Katika vitu ambavyo bongo tupo nyuma ni suala la siasa. Kila mtu ataongea mengi kuhusiana na mwenzake na yote yatokayo mdomoni juu ya mwngne ni mabaya tu. Kwa hali hii unaemchukia hata kama anafanya mema atakuwa tu mbaya kwako we na wafuasi wako. Leo yeye amemfananisha mwenzake na fisi, kesho na yeye atafananishwa na nguruwe au mnyama mwngne yoyote mwnye picha mbaya kwa jamii.Haya nikuji, kwangu mimi mwanasiasa mwana siasa tu hasa kwa hapa tz. Wajifananishe na wanyama huko majukwaani tuendelee kumeza mate majumbani kwa matatizo lukuki tunayoyapata. Dr kuitwa au kutoitwa fisi haitabadili ukweli kama siyo fisi.Katika mkutano wa chama cha mapinduzi unaoendelea katika halmashauri ya wilaya ya Iramba.Mh .Abraham Kinana amesimulia hadithi ambayo imemfananisha Dr. Slaa na fisi anayejivika pembe.Pia amehainisha kwamba UKAWA ni genge la wanyang'anyi wa madaraka. Je ni kweli Dr. Slaa ni sawa na fisi kati ya wanyama wenye pembe?
Hilo cheko lako tuu nahisi ningekuwa karibu ningeenjoy walau haa haaa
Shida ya wezi wa mali ya umma siku zote wanawaza mambo ya kuingia msituni tu ,si rahisi kumkumbuka fisi labda unaishi mazingira hayo,Katika mkutano wa chama cha mapinduzi unaoendelea katika halmashauri ya wilaya ya Iramba.
Mh .Abraham Kinana amesimulia hadithi ambayo imemfananisha Dr. Slaa na fisi anayejivika pembe.
Pia amehainisha kwamba UKAWA ni genge la wanyang'anyi wa madaraka.
Je ni kweli Dr. Slaa ni sawa na fisi kati ya wanyama wenye pembe?
Level ya mafisadi na haijatokea tangu muue azimio la Arusha lililokataa kuuza rasilimali za nchi,da nakumbuka pale Yesu aliposema" mnapaka makaburi kwa rangi na chokaa huko ndani kuna mifupa" Lini gamba mtalivua? ,au liliishia kwa poor Rostam Azizi?Kinana ni level nyingine
Yeah! Mie ni Lizaboni na yule ni MSALANIHivi lizabon na msalani ni watu wawili tofaut?
Si anatekeleza sera za Dr Slaa!Mzee ameanza kunywa gongo kama si kuchanganyikiwa ni nini?