Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,472
- Thread starter
- #21
Mbona akiende kwa mganga havai kaniki?
kijanaaaa kuna sehemu ukiwa unaenda unatakiwa uvae uhusika wa hyo sehem kwa mfano ukiwa unaenda msikitin huwez enda umevaa bukta lazima uvae kanzu au mavaz ruhusiwa na hyo sehem
ndo alicho kifanya hapo co kuchanganyikiwa tumia akil b4 hujapost tena
HAKISAWA