Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,117
- 49,473
Katika mkutano wa chama cha mapinduzi unaoendelea katika halmashauri ya wilaya ya Iramba.
Mh .Abraham Kinana amesimulia hadithi ambayo imemfananisha Dr. Slaa na fisi anayejivika pembe.
Pia amehainisha kwamba UKAWA ni genge la wanyang'anyi wa madaraka.
Je ni kweli Dr. Slaa ni sawa na fisi kati ya wanyama wenye pembe?
Mh .Abraham Kinana amesimulia hadithi ambayo imemfananisha Dr. Slaa na fisi anayejivika pembe.
Pia amehainisha kwamba UKAWA ni genge la wanyang'anyi wa madaraka.
Je ni kweli Dr. Slaa ni sawa na fisi kati ya wanyama wenye pembe?