Habari zilizopatikana alfajiri hii zinathibitisha ya kuwa hali ya kisiasa kwa Mbunge wa CCM Dr. Siame si nzuri baadaya kuachwa Mbali na Mgombea wa CHADEMA. Figures zitafuata punde!
Huyo alikuwa amekaliwa kooni na jimboni lake ni katika majimbo manne ya Mbeya ambayo CHADEMA wanaweza kushinda. Mengine ni Mbeya mjini ambalo wameshinda, Mbeya vijijini na Mbalali.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.