Miiku
JF-Expert Member
- Oct 8, 2014
- 3,835
- 2,630
DR LUI NI FURSA TUNAWEZA KUMTUMIA.
Na Saronga Nangere.
Nani leo hamjui Dr Lui mzee wa 900 itapendeza? Nani hataki kukutana naye? Naona watu wameanza kumshobokea kwa kupiga naye picha nk.
[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] tupo Slow sana kwenye kutumia fursa zinazojitokeza.
Mnamkumbuka yule jamaa Wa Githeri kule Kenya? Siku hizi kumuona ni Issue na ameajiriwa na makampuni kibao ya kibiashara.
Dr Lui hapa kwetu anaweza kutumika na makampuni ya Simu, vyama vya Siasa, Club zetu za mpira, Hotels, Tbl badala ya Kuwa mnywa mataputapu huko mtaani mnaonaje akawa anawatangazia safari na Kilimanjaro, Washehereshaji mnaonaje mkamtumia, Media zetu kama TV na Redio bado hazijamuona Dr Lui kama ni fursa inayoweza kuwavutia watu na kutengeneza fedha zaidi.
Hata Yono wanaweza kumtumia baada ya Kesi yake kuisha na wakampatia Ajira. Huyu jamaa ninegundua ni mtu mcheshi sana.
Ni nani hataki kuonana na Dr Lui Leo? Bado hatujaiona hiyo Fursa? Huyu waka hataki mshahara mkubwa kiivyo..... tuwe tofauti na tutumie Fursa.
Na Saronga Nangere.
Nani leo hamjui Dr Lui mzee wa 900 itapendeza? Nani hataki kukutana naye? Naona watu wameanza kumshobokea kwa kupiga naye picha nk.
[HASHTAG]#Tanzania[/HASHTAG] tupo Slow sana kwenye kutumia fursa zinazojitokeza.
Mnamkumbuka yule jamaa Wa Githeri kule Kenya? Siku hizi kumuona ni Issue na ameajiriwa na makampuni kibao ya kibiashara.
Dr Lui hapa kwetu anaweza kutumika na makampuni ya Simu, vyama vya Siasa, Club zetu za mpira, Hotels, Tbl badala ya Kuwa mnywa mataputapu huko mtaani mnaonaje akawa anawatangazia safari na Kilimanjaro, Washehereshaji mnaonaje mkamtumia, Media zetu kama TV na Redio bado hazijamuona Dr Lui kama ni fursa inayoweza kuwavutia watu na kutengeneza fedha zaidi.
Hata Yono wanaweza kumtumia baada ya Kesi yake kuisha na wakampatia Ajira. Huyu jamaa ninegundua ni mtu mcheshi sana.
Ni nani hataki kuonana na Dr Lui Leo? Bado hatujaiona hiyo Fursa? Huyu waka hataki mshahara mkubwa kiivyo..... tuwe tofauti na tutumie Fursa.