jebs2002
JF-Expert Member
- Sep 3, 2008
- 8,814
- 7,589
Ataujuwa mpilipili na maua yake...tusubiri tuone..Kamanda Mambosasa jasho lazima litakuwa linamtoka huko alipo Habari hizi si njema kwake
Ataujuwa mpilipili na maua yake...tusubiri tuone..Kamanda Mambosasa jasho lazima litakuwa linamtoka huko alipo Habari hizi si njema kwake
Hahhaaaaaa au zwazwaMimi nshajiona mbumbumbuuu kitambo ....
mzee ashaliwa tena utakuta ni kina Oga wamemuingiza cha kikeHiyo amount ni ndogo sana kwa 10m $, isije ikawa ni victim wa internet scams, na hizo 100$ katoa wapi wakati kula yake tu ni shida?
Hiyo inatia Shaka mkuu; maana wengine ni fax tu mpunga unakuja, na hauji ikikosewa hata nukta ya signature; lazima wandike e-mail kuverify transaction.yap! nami nafikiria hivyo kutransfer hela mpaka utume bima
Dr Shika amekamilisha muamala aliotakiwa kuufanya ili atumiwe pesa zake, ilikuwa inahitajika dola 100, tayali ametuma Leo kupitia benk ya equity kwenda benk ya Bangkok inchin Thailand. Tusubili aje kunyamazisha watu
View attachment 632878
View attachment 632879
Dr Shika amekamilisha muamala aliotakiwa kuufanya ili atumiwe pesa zake, ilikuwa inahitajika dola 100, tayali ametuma Leo kupitia benk ya equity kwenda benk ya Bangkok inchin Thailand. Tusubili aje kunyamazisha watu
View attachment 632878
View attachment 632879
sina hakika kama amekopa leo nimeona mahali akiingia mkataba wa matangazo na kampuni FulaniDkt shika alitekwa akili na scammers akaingia mazima na sasa tayari scammers wameshapatiwa $100 ya bure kabisa.
Maelezo ya mwenye internet cafe alisema shika alikuwa anaenda cafe yake kufanya masuala yake na kwa ninavyoona huyu dkt yupo desperate sana aidha alikuwa na pesa aliacha huko urusi au laa na anapenda sana kuwa tajiri ,hivyo kupitia e mail yake scammers wakamrubuni na kumdanganya akadanganyika.
Utapeli aliofanyiwa shika hauna tofauti na utapeli unaofanywa pale mbagala rangi 3 ,wale majamaa wanaoweka vitu vyao radio set,sabufa na assets zengine ukifika pale utakuta wateja feki wanacheza karata na wanakula kiurahisi sana ila wewe ukienda utashinda fresh karata ya kwanza kisha utatozwa 5000 ile ya pili utaambiwa kwakuwa umeahinda set ya radio na sabufa thamani take ni 800,000 toa 30,000 ucheze karata ya mwisho kwakuwa upo desperate utatoa tu na ukishinda utaambiwa toa 100,000 upewe zawadi yako ya thamani 800,000 na principle yao hawakati kwenye hio 800,000 uliyoshinda hivyo utashindwa kuikomboa na wao watakuwa wamekula elf thalathini ,arobaini au ishirini zako bure kabisa.
Dkt kaingizwa mkenge na scammers na kwenye e mails wamejaa kibao kama wewe unapenda mteremko utaliwa tu
Je utaratibu wa international money transfer ukoje?
1.kwanza mtumaji ataangalia option ya kutuma pesa zake aidha kwa njia ya Bank ,FX brokers au high street tranfer firm mfano western Union.
2.atajaza maelezo na kila kitu na kiasi atakachotuma na makato ya gharama "transfer charges " na bank utakayotolea pesa watakata makato yao na hapa kitakachoangaliwa ni exchange rates
Hivi kweli wewe unayetumiwa pesa ndio utume pesa ya bima ili uletewe pesa ?pesa hukatwa kwenye transfer charges let's say ana mali nyingi hivyo kuepusha risk anakatia bima hivi Mali ya millions of dollars ukatie bima ya $100
Scammers pasi na shaka walimuambia dkt tuma pesa ya bima $100
Tangu 2006-2016 alikuwa hohehahe tabata baada ya kurudishwa nchini,2017 aletewe pesa kirahisi rahisi tu.
WaNigeria sio watu wazuri kabisa
sina hakika kama amekopa leo nimeona mahali akiingia mkataba wa matangazo na kampuni FulaniDkt shika alitekwa akili na scammers akaingia mazima na sasa tayari scammers wameshapatiwa $100 ya bure kabisa.
Maelezo ya mwenye internet cafe alisema shika alikuwa anaenda cafe yake kufanya masuala yake na kwa ninavyoona huyu dkt yupo desperate sana aidha alikuwa na pesa aliacha huko urusi au laa na anapenda sana kuwa tajiri ,hivyo kupitia e mail yake scammers wakamrubuni na kumdanganya akadanganyika.
Utapeli aliofanyiwa shika hauna tofauti na utapeli unaofanywa pale mbagala rangi 3 ,wale majamaa wanaoweka vitu vyao radio set,sabufa na assets zengine ukifika pale utakuta wateja feki wanacheza karata na wanakula kiurahisi sana ila wewe ukienda utashinda fresh karata ya kwanza kisha utatozwa 5000 ile ya pili utaambiwa kwakuwa umeahinda set ya radio na sabufa thamani take ni 800,000 toa 30,000 ucheze karata ya mwisho kwakuwa upo desperate utatoa tu na ukishinda utaambiwa toa 100,000 upewe zawadi yako ya thamani 800,000 na principle yao hawakati kwenye hio 800,000 uliyoshinda hivyo utashindwa kuikomboa na wao watakuwa wamekula elf thalathini ,arobaini au ishirini zako bure kabisa.
Dkt kaingizwa mkenge na scammers na kwenye e mails wamejaa kibao kama wewe unapenda mteremko utaliwa tu
Je utaratibu wa international money transfer ukoje?
1.kwanza mtumaji ataangalia option ya kutuma pesa zake aidha kwa njia ya Bank ,FX brokers au high street tranfer firm mfano western Union.
2.atajaza maelezo na kila kitu na kiasi atakachotuma na makato ya gharama "transfer charges " na bank utakayotolea pesa watakata makato yao na hapa kitakachoangaliwa ni exchange rates
Hivi kweli wewe unayetumiwa pesa ndio utume pesa ya bima ili uletewe pesa ?pesa hukatwa kwenye transfer charges let's say ana mali nyingi hivyo kuepusha risk anakatia bima hivi Mali ya millions of dollars ukatie bima ya $100
Scammers pasi na shaka walimuambia dkt tuma pesa ya bima $100
Tangu 2006-2016 alikuwa hohehahe tabata baada ya kurudishwa nchini,2017 aletewe pesa kirahisi rahisi tu.
WaNigeria sio watu wazuri kabisa