Uchaguzi 2020 Dr. Shein miaka 10 iliyopita, nitaifanya Zanzibar iwe kama Dubai. Mwaka huu Magufuli nae kaahidi kuifanya Tanzania kuwa kama Ulaya

Mimi so mshabiki wa Shein wala sio mfuasi wa CCM. Ila chini ya Utawala wa Dk Shein mambo mengi yamefanyika kama haha
1. Ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua hivyo karibuni mafuriko Znz yatakua historia.
2. Ujenzi wa miundombinu ya maji safi katika mji wa Zanzibar pamoja na ujenzi wa matank makubwa ya kuhifadhia maji.
3. Ujenzi wa majengo ya kisasa ya makaazi pamoja na kuanzishwa miji mipya.
4. Ujenzi wa shopping malls na ukarabati wa majengo ya zamani.
5. Ujenzi wa ofisi za kisasa
6. Ujenzi wa shule za kisasa
7. Ujenzi wa Barbara
8. Uwekaji taa za barabarani mjini Kate.
9. Uboreshwaji huduma za Afya.
10. Kuheshimu haki za binaadamu.

Mwisho namuomba do.Shein awaachie huru masheikh wa Uamsho warudi katika familia zao.
10. Kuheshimu haki za binaadamu.???!
Haki zipi wakati mashehe wapo ndani miaka nenda rudi, na uchaguzi wa huru na haki hakuna?
 
Daah nikajua huko Zenji hii michezo ni ya kutosha tofauti na huku bara.
Ilikuwa inafanywa bushi sehemu inaitwa Pwani Mchangani, kipindi icho ilikuwa kibali kinatolewa vijana tunakwenda kuburudika. Ila naona hawatoi tena na saivi watu wanafanya kimagendo. Kuna Njia ya Fumba alojenga Bakhressa, watu wanafanya drag Race lakini ni usiku kuanzia saa nne au tano uko.
 
Ilikuwa inafanywa bushi sehemu inaitwa Pwani Mchangani, kipindi icho ilikuwa kibali kinatolewa vijana tunakwenda kuburudika. Ila naona hawatoi tena na saivi watu wanafanya kimagendo. Kuna Njia ya Fumba alojenga Bakhressa, watu wanafanya drag Race lakini ni usiku kuanzia saa nne au tano uko.
Daah asante kwa ufafanuzi mkuu,maana nilikua najua zenji ni full kujiachia tu.
 
Mimi so mshabiki wa Shein wala sio mfuasi wa CCM. Ila chini ya Utawala wa Dk Shein mambo mengi yamefanyika kama haha
1. Ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua hivyo karibuni mafuriko Znz yatakua historia.
2. Ujenzi wa miundombinu ya maji safi katika mji wa Zanzibar pamoja na ujenzi wa matank makubwa ya kuhifadhia maji.
3. Ujenzi wa majengo ya kisasa ya makaazi pamoja na kuanzishwa miji mipya.
4. Ujenzi wa shopping malls na ukarabati wa majengo ya zamani.
5. Ujenzi wa ofisi za kisasa
6. Ujenzi wa shule za kisasa
7. Ujenzi wa Barbara
8. Uwekaji taa za barabarani mjini Kate.
9. Uboreshwaji huduma za Afya.
10. Kuheshimu haki za binaadamu.

Mwisho namuomba do.Shein awaachie huru masheikh wa Uamsho warudi katika familia zao.
Huo Ni wajibu wa Serikali kuwafanyia hayo walipa Kodi wa nchi husika
 
Sasa hivi TBC baada ya Aridhio kuna kituko wanarusha wanaita "bongo kama Ulaya " wanaonyesha treni za Ulaya ,magari ya mwendo kasi na flyovers eti wapo kama Ulaya.

Wanatia aibu wangeonyesha maisha ya Tandale pia tuone kama ipo kama Ulaya.
Kuna neno hili ARIDHIO, naliona Tbc, maana Yake Nini?
 
Hahaha huwezi amini kuna vichwa huko CCM vinaamini kila kitu wasemacho hao watawala.

Kuna mtu wa CCM tulikuwa tukiongea akasema daraja la mfugale ndiyo ulaya wanaziita highway.
Yani wanaccm hawana tofauti na misukule ya gwajima...
 
Mnapashwa kuwa mnauliza ufafanuzi wa namna gani ahadi hizo zinatekelezwa. Dubai inamambo mengi na kwa mantiki nyingine ni dhahiri ahadi imetekelezwa.

Zanzibar sasa ni kama Dubai.

Dubai iko katika falme za kiarabu na inaongozwa kifalme? Nini tena unataka?
Ohooooo........ Aliahidi ametekeleza mwinyi atasongesha mbele sio?
 
Mimi so mshabiki wa Shein wala sio mfuasi wa CCM. Ila chini ya Utawala wa Dk Shein mambo mengi yamefanyika kama haha
1. Ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua hivyo karibuni mafuriko Znz yatakua historia.
2. Ujenzi wa miundombinu ya maji safi katika mji wa Zanzibar pamoja na ujenzi wa matank makubwa ya kuhifadhia maji.
3. Ujenzi wa majengo ya kisasa ya makaazi pamoja na kuanzishwa miji mipya.
4. Ujenzi wa shopping malls na ukarabati wa majengo ya zamani.
5. Ujenzi wa ofisi za kisasa
6. Ujenzi wa shule za kisasa
7. Ujenzi wa Barbara
8. Uwekaji taa za barabarani mjini Kate.
9. Uboreshwaji huduma za Afya.
10. Kuheshimu haki za binaadamu.

Mwisho namuomba do.Shein awaachie huru masheikh wa Uamsho warudi katika familia zao.
sentensi yako ya mwisho imekinzana na hoja namba kumi !!!
 
Mimi so mshabiki wa Shein wala sio mfuasi wa CCM. Ila chini ya Utawala wa Dk Shein mambo mengi yamefanyika kama haha
1. Ujenzi wa mitaro ya maji ya mvua hivyo karibuni mafuriko Znz yatakua historia.
2. Ujenzi wa miundombinu ya maji safi katika mji wa Zanzibar pamoja na ujenzi wa matank makubwa ya kuhifadhia maji.
3. Ujenzi wa majengo ya kisasa ya makaazi pamoja na kuanzishwa miji mipya.
4. Ujenzi wa shopping malls na ukarabati wa majengo ya zamani.
5. Ujenzi wa ofisi za kisasa
6. Ujenzi wa shule za kisasa
7. Ujenzi wa Barbara
8. Uwekaji taa za barabarani mjini Kate.
9. Uboreshwaji huduma za Afya.
10. Kuheshimu haki za binaadamu.

Mwisho namuomba do.Shein awaachie huru masheikh wa Uamsho warudi katika familia zao.
Hahaaa...... Kwa hiyo ni km Dubai?
 
Back
Top Bottom