Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,064
- 22,757
Kama ni hivyo basi wajinga tuko wengi...Dr. Shein ni RAIS wa Zanzibar. Kwa huu ujinga wenu wa kukataa kuitambua Zanzibar ni nchi katika muungano ndio moja ya sabau ya zanzibar kutaka kujitenga. Zanzibar ni nchi kama katiba ya Zanzibar inavosema. Na karibuni pia muungano utavunjika kwa kuwa wazanzibari hawautaki muungano feki anymore.
- Duniani kuna nchi 196 zinazotambulika na Zanzibar si mojawapo.
- U.N. kuna nchi 193 zinazotambulika na Zanzibar si mojawapo.
- Afrika kuna nchi 54 zinazotambulika na Zanzibar si mojawapo.