Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
[h=1]Dr. Shein Aenda Uingereza Kwa Ziara Maalum[/h]
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum,katika safari hiyo Dk. Shein amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Swali Uingereza kaenda kama nani na ziara maalum ndo ipi hiyo? Au kaenda kumwakikisha Vasco Dagama
Rais wa zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein,akiagana na Makamu wa Pili wa Rais Balozi Seif Ali Iddi pamoja na viongozi wengine katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume,akielekea Nchini Uingereza kwa Ziara maalum,katika safari hiyo Dk. Shein amefuatana na Mkewe Mama Mwanamwema Shein. [Picha na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Swali Uingereza kaenda kama nani na ziara maalum ndo ipi hiyo? Au kaenda kumwakikisha Vasco Dagama