Bhujegwe
Senior Member
- Nov 23, 2013
- 135
- 191
Jaman eeh,Dk. Sengati hajawa RC wa kwanza kutenguliwa baada ya JPM kuondoka. Vyovyote itavyokuwa imetokea mwenye kauli ya mwisho juu ya ajira hiyo ni yule aliyeteua na ndiye kaona Daktari hamfai tena. Sina shaka na uwezo wa yule Mzinza kitaaluma coz umahiri wake alikokuwa be4 ndiyo uliivutia mamlaka ya uteuzi hadi kumuomba amsaidie ktk kazi hiyo ya ukuu wa mkoa.
(Abhazinza twimanye tulibhache). Never give up brother!
(Abhazinza twimanye tulibhache). Never give up brother!