mkandaboy
JF-Expert Member
- Jan 19, 2012
- 256
- 88
ndioo...hasa wakati nasearch stesheni huwa naionaga ya blueblue hivi...na mwanadada anatangazaga amevaa koti oversize vifungo vi3 mbele
smile and silence
....Hahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa........
ndioo...hasa wakati nasearch stesheni huwa naionaga ya blueblue hivi...na mwanadada anatangazaga amevaa koti oversize vifungo vi3 mbele
smile and silence
Anaangalia chereko tuuNa kuna saa hata hakuna sauti kabisa........................ Huwa anapenda kuangalia msichana wangu ile kipindi ya harusi sijui kinaitwa nini my
Taaluma zisizokuwa na misingi madhubuti ya maadili. Jambo la aibu kabisa kwa mtu wa wadhifa na elimu yake.Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Habari Tanzania TBC, Dkt. AYOUB RYOBA kama siyo watu kumshika na kuwaamua, nusura apigane na Mtangazaji wa kituo cha Redio cha EFM Gerald Hando.
Tukio hilo lilitokea katika Bar ya LILLY'S iliyoko Mikocheni Jijini Dar es Salaam baada ya Gerad Hando kumwambia RYOBA kuwa ameshindwa kabisa kulifanya Shirika la TBC lionekane linaongozwa na Mkurugenzi mwenye elimu ya kutosha Kabisa ya kiwango cha Phd na aliyefundisha wana taaluma mbalimbali wa habari.
Baada ya ugomvi huo kuzuiwa na watu waliokuwepo karibu, DR.Ryoba aliondoka kuelekea kwenye gari lake ambapo ilitafsiriwa kuwa alikuwa anakwenda kuchukua Bastola.
Aidha Bosi huyo wa TBC alisikika akisema kuw atamshughulikia Gerald Hando na hakuna wa kumfanya lolote.
Alitaka kurusha ngumi badala arushe matangazoKwahiyo alitaka kurusha ngumi?
Mkurugenzi mkuu wa Shirika la Habari Tanzania TBC, Dkt. AYOUB RYOBA kama siyo watu kumshika na kuwaamua, nusura apigane na Mtangazaji wa kituo cha Redio cha EFM Gerald Hando.
Tukio hilo lilitokea katika Bar ya LILLY'S iliyoko Mikocheni Jijini Dar es Salaam baada ya Gerad Hando kumwambia RYOBA kuwa ameshindwa kabisa kulifanya Shirika la TBC lionekane linaongozwa na Mkurugenzi mwenye elimu ya kutosha Kabisa ya kiwango cha Phd na aliyefundisha wana taaluma mbalimbali wa habari.
Baada ya ugomvi huo kuzuiwa na watu waliokuwepo karibu, DR.Ryoba aliondoka kuelekea kwenye gari lake ambapo ilitafsiriwa kuwa alikuwa anakwenda kuchukua Bastola.
Aidha Bosi huyo wa TBC alisikika akisema kuw atamshughulikia Gerald Hando na hakuna wa kumfanya lolote.
Tunga nawe ya kwako!!!