Dr. Ryoba bado unajipanga TBC?

Mwanagenzi

JF-Expert Member
Sep 11, 2006
697
212
Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?

Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...

Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...

Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!
 
Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?

Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...

Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...

Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!

Kwa uelewa Mkubwa na wa Kutukuka wa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Rioba hana haja ya kukurupuka na kwa nimjuavyo sasa hivi anaandaa vitu ambavyo nina uhakika akiviwasilisha kwa Wafanyakazi wa TBC Redio na Tv Wengi wenu mtaacha rasmi kutizama Tv zingine na kusikiliza Redio zingine na muda wote mtakuwa glued TBC. Sina shaka na Mwalimu wangu na kitendo cha Rais Magufuli kumteua Rioba ni sawa sawa na Rais wa FIFA kumkabidhi TUZO ya World Best Footballer of the year Lionel Messi ( kifupi kipele kimempata mkunaji ). Dkt. Rioba achana na hawa Wanafiki tumia UELEDI wako.
 
Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?

Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...

Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...

Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!
Ryoba hana maamuzi zaidi ya Nape. Alikuwa na "shombo" la wanafunzi leo ametoka kwenye "shombo" hawezi kuenenda na kinyume cha kuhatarisha keki/piza yake! Wasikushinikize, fanya what is within the interests of your bosses!
 
Kwa uelewa Mkubwa na wa Kutukuka wa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Rioba hana haja ya kukurupuka na kwa nimjuavyo sasa hivi anaandaa vitu ambavyo nina uhakika akiviwasilisha kwa Wafanyakazi wa TBC Redio na Tv Wengi wenu mtaacha rasmi kutizama Tv zingine na kusikiliza Redio zingine na muda wote mtakuwa glued TBC. Sina shaka na Mwalimu wangu na kitendo cha Rais Magufuli kumteua Rioba ni sawa sawa na Rais wa FIFA kumkabidhi TUZO ya World Best Footballer of the year Lionel Messi ( kifupi kipele kimempata mkunaji ). Dkt. Rioba achana na hawa Wanafiki tumia UELEDI wako.
Aangalie asitumbuliwe kama kama waliyemtoa BBC! Take care Ryoba!
 
Ujitegemehe jipya pale mwenye taaluma anaposimamiwa Na mwanasiasa nakuhakikishia akina jipya

Kwa vile sisi tunapenda vitu vizuri, tutumie fursa hii kumshauri atuletee mambo mazuri badala ya kukata tamaa! Kama anajipanga atumie kipindi hiki kubaini upungufu wa vituo vingine na yeye afanye vizuri zaidi yao.
 
Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga?

Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya kisasa, vipindi vya kusisimua, watangazaji walio makini na kuvutia watazamaji; kushirikisha watazamaji kwa njia ya mtandao wa kijamii wakati wa habari; kuita wataalam au vyanzo vya habari studio wakati wa habari muhimu; kuwa na usikivu mzuri wa sauti; picha kutokwama kwama na kumuacha mtangazaji au msomaji akiwa anatahayari peke yake...

Ikiwezekana studio na au watangazaji wawe na mavazi nadhifu ya kufanana (unifomu) yanayotoa taswira ya taifa letu na utamaduni wetu kiasi kwamba hata mgeni akikuta habari inatangazwa au akifungulia TBC anaweza akagundua kuwa kituo ni cha Tanzania...

Ninakusubiri kwa hamu Mwalimu Ryoba!
Tido mhando ndio alierekebisha tbc tu lakini hawa wengine wanaangalia wa aliemteua
 
Ryoba hana uwezo wowote na si mbunifu...ni mzigo mwingne serikalini..time will tell...tazama wafanyakazi wa TBC walivyochoka...hanyooshi hadi nguo zao...ni zilezile...wanyakazi wa TBC wanatia huruma sana...hawana hata uwezo wa kununua ngua mahali kama milimani city au boutique za nguvu kama mariedo..nk...wanasagula ilaila, karume, manzese au kariakoo maduka ya wakinga na wachaga...Ryoba kuwa mbunifu kama Tido...
 
Kwa uelewa Mkubwa na wa Kutukuka wa Mwalimu wangu Kipenzi Dkt. Ayub Rioba hana haja ya kukurupuka na kwa nimjuavyo sasa hivi anaandaa vitu ambavyo nina uhakika akiviwasilisha kwa Wafanyakazi wa TBC Redio na Tv Wengi wenu mtaacha rasmi kutizama Tv zingine na kusikiliza Redio zingine na muda wote mtakuwa glued TBC. Sina shaka na Mwalimu wangu na kitendo cha Rais Magufuli kumteua Rioba ni sawa sawa na Rais wa FIFA kumkabidhi TUZO ya World Best Footballer of the year Lionel Messi ( kifupi kipele kimempata mkunaji ). Dkt. Rioba achana na hawa Wanafiki tumia UELEDI wako.
wewe ndio mnafiki,hakuna jipya pale.bendera fuata upepo tu chini ya nape
 
kwanza maslahi ya wafanyakazi yaboreshwe mana ukiwaona tu unathibitisha kifedha hawako sawa.

pili studio presentation iboreshwe mana hata watangazaji wawe wazuri na wapendeze studio isipokua nzuri kazi bure. kuna kipindi cha michezo asubuhi jumatano jamaa sijui wamekaa koridoni kwenye stuli alafu ndo wanatangaza.

mfano mzuri waige azam, studio nzuri, watangazaji nadhifu na mtiririko wenye kuvutia.
 
Kuna utangazaji wa habari na kuna waandishi wa habari tido alikua mtangazaji lyoba sijui mwadishi au matanazaji
Hapo ndo tutaona taofauti tukijua
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom