Wanajamii mida hii naona yume mwanachama mfu wa CCM, Dr. Xavery Lwaitama yupo Runingani anamwaga cheche mfuatilieni kwani huwa ana hoja nzuri zenye mlengo wa fikra mbadala.
Huwa anajaribu kuficha udhaifu wake. Ila ni afadhali kuliko Dk Bana anayeongoza kwa kujikomba kwa CCM Kikwete na mafisadi kiasi cha kushindwa kumtofautisha na juhaa wa kawaida. Amwage sera zake ila asiendelee na somo lake la kuwafundisha waandishi wa habari kazi wakati hajui hata chembe moja ya maadili ya taaluma yenyewe.
Sijaoenda sana majibu ya watu wasiowajibika.Yule sheik aliyepo kamati ya maridhiano na amani.Kasema aliyosema ila hakuwajibika kusema nafasi za kazi na serikalini na mitihani kuna kila dalili kuwa kuna udini...Huyu yupo katika amani sijui wale wasio katika huu uomja wenye ulaji wa mani wtasemaje?Ki ukweli tayari amani ya nchi ilishakula kona.
Haiwezekani Sheikh anayheshimika na kutarajiwa kuja ongoza taasisi kubwa yenye kubeba waislam wa tanzania kama anaamini shue kama al haramain, kinondoni, kibohehe, bondeni, kilimanjaro muslim etc wanabaguliwa ktk matokeo na si uduni wa elimu,uongozi mbovu na kupewa mitihani kishule ili wajenge contious assessment records nzuri.
Sheikh kama huyu nashindwa elewa kama idadi hii ya wanafunzi kufeli ndipo kunapelekea kukosa sifa za kufanya kazi sehemu nyingine.
Sijui kama huyu jamaa anatafuta amani au anapalilia na kuchochea kuvunjika kwa amani.Mungu saidia
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.