Return Of Undertaker
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 4,572
- 26,868
Kuna Mtu kaniambia jana jioni kwamba kumbe kosa la CAG Assad ni kuibua Wizi katika maeneo mbalimbali ya Nchi bila kuruhusiwa! kumbe mwenye kazi na haki ya kuibua Matendo yote ya Wizi Nchi hii ni mmoja tu! Ili sifa na Utukufu zimwendee yeye peke yake!
Makosa makubwa mengine ya Assad kumbe ni pamoja na yeye binafsi kutokuwa Kada, na pia kuingilia kazi isiyo mhusu, hivyo, Jitihada zinafanyika Assad aondoke ili awekwe CAG mwingine atakaye kuwa Kada na Mtu Mtulivu, atayekuwa anauliza Wakubwa kila kitu akitaka kutoa taarifa yake, ni mambo yapi yakuyatoa kwa Umma na yapi siyo ya kuyatoa, kisha kumwachia mwenye kazi yake ya kufichua Uovu ili NGONJERA ziendelee, Tanzania mpya ya CCM mpya!
Lakini Daktari naye amekuwa na wasiwasi na anashangaa!!!
Makosa makubwa mengine ya Assad kumbe ni pamoja na yeye binafsi kutokuwa Kada, na pia kuingilia kazi isiyo mhusu, hivyo, Jitihada zinafanyika Assad aondoke ili awekwe CAG mwingine atakaye kuwa Kada na Mtu Mtulivu, atayekuwa anauliza Wakubwa kila kitu akitaka kutoa taarifa yake, ni mambo yapi yakuyatoa kwa Umma na yapi siyo ya kuyatoa, kisha kumwachia mwenye kazi yake ya kufichua Uovu ili NGONJERA ziendelee, Tanzania mpya ya CCM mpya!
Lakini Daktari naye amekuwa na wasiwasi na anashangaa!!!