Haiwezekani leo ni siku ya alhamisi, maswali kwa waziri mkuu alafu Tbc haionyeshi Live....
Je, nini tafsiri ya hii, ni kwamba unataka kutuaminisha kuwa waziri mkuu hawezi kujieleza vizuri mpaka mfanye cover up ya media?
Je, nini nia yako katika hili. Hujui kwamba waziri mkuu ndio msimamizi wa shughuli za serikali, hivyo ni wasaha na fursa nzuri ya wananchi kupata majibu kutoka serikalini?
Tafadhali sana, this is too much.... Jirekebishe. Ulipokuwa Udsm ulikuwa critical kweli, saizi naona cheo kimekupofusha... Simama imara kaka!...
Je, nini tafsiri ya hii, ni kwamba unataka kutuaminisha kuwa waziri mkuu hawezi kujieleza vizuri mpaka mfanye cover up ya media?
Je, nini nia yako katika hili. Hujui kwamba waziri mkuu ndio msimamizi wa shughuli za serikali, hivyo ni wasaha na fursa nzuri ya wananchi kupata majibu kutoka serikalini?
Tafadhali sana, this is too much.... Jirekebishe. Ulipokuwa Udsm ulikuwa critical kweli, saizi naona cheo kimekupofusha... Simama imara kaka!...