Hata Magufuli anajua kuwa hakushinda kihalali na asifikiri kuwa ndio imepita ,upinzani wa leo ni mkubwa sana na atakaposimama ,kwa kweli atakuwa hana nguvu ,kwani ukweli unajulikana kama hakushinda ,haya tusubiri ale hicho kiapo kwa Mungu wake ili aanza kupokea adhabu ya kuongopa mbele ya Mungu.
Unafikiri kiongozi aneshinda kwa hila atakuwa na habari na huruma na wewe ,hata kama upo CCM ,hivi anakujua wewe kama ndie uliempa kura ,marungu yanayokuja hayatawakumba wapinzani bali kwa kweli watakaoumia zaidi ni wale waliosheherekea ushindi usio wa kihalali. Hii ndio siri watakaoumia na kujuta ni ccm na mapolisi.
Yaani nihame kwenye ardhi ya mababu zangu toka kale eti kisa ninaikimbia CCM! Ndivyo mnavyojidanganya kwamba nchi hii ni mali ya wanaCCM peke yao ne wengine wote hawana haki ya kuendelea kuishi hapa. Kweli CCM ni chama cha Mashetani.
Atakatwa tu na anakokwenda kuchunga ng'ombe.