Allen Kilewella
JF-Expert Member
- Sep 30, 2011
- 18,292
- 33,903
Bashite ana mambo sana!!Safari ya miezi mitatu katika uchaguzi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania umefikia tamati huku ndugu John Pombe Magufuli akiibuka kuwa raisi wa awamu ya tano...hivyo leo ni siku ya furaha sana huku kanda ziwa ikizizima kwa maandamano yakumpongeza ndugu john pombe magufuli.huyu ni raisi kwa mara ya kwanza anatokea kabila la wasukuma lililo kubwa kuliko makibila yote...