Elections 2015 Dr. Pombe Magufuli, Rais mteule wa Tanzania awamu ya 5

Safari ya miezi mitatu katika uchaguzi wa Jamuhuri ya muungano wa Tanzania umefikia tamati huku ndugu John Pombe Magufuli akiibuka kuwa raisi wa awamu ya tano...hivyo leo ni siku ya furaha sana huku kanda ziwa ikizizima kwa maandamano yakumpongeza ndugu john pombe magufuli.huyu ni raisi kwa mara ya kwanza anatokea kabila la wasukuma lililo kubwa kuliko makibila yote...
Bashite ana mambo sana!!
 
Back
Top Bottom