mgt software
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 13,767
- 7,115
Ukisikia kufuata sheria imefikia pazuri, ambapo wale wote waliojenga bila vibali au kuingilia hifadhi za barabara wote watuvunjiwa. Sheria hii imempitia Rais wetu mstaafu Mzee "Ruksa" pale kwake msasani, tayari vipimo vinavyoonyesha mita 33 na mstari mwekundu vimewekwa kwenye ukuta wake, sikuweza kupiga picha kwa sababu za usalama wangu na ka mkebe kangu.
Vunja vunja na Bomoa bomoa zimekumba sehemu kubwa ya Old Bagamoyo, hadi nakuja mitamboni, nimeona nyumba nyingi zenye kuta zilizotiwa nakshi nakshi zikiwekwa alama ya hatari.
Hata hivyo sijajua wanapanua barabara au wanatekeleza amri ya kuhifadhi barabara, vivyo hivyo bara bara ya Ali Hassani Mwinyi AKA New Bagamoyo Road, huko ndiko utamkuta Kenja pale Victoria katulia akisubiri kijiko kifanye vituko, hipo pia shule ya aliyekuwa meya wa jiji mzee wa Green Acre , naye kukumbwa zoezi hili, ingawaje yeye bado ana kagorofa kake pale kalikowekewa alama zikafutwa ingawaje jirani yake anayepakana na UWT, kashavunjiwa na kurudi kinyume nyume.
Source ya Habari Nimeona Mwenyewe na Nishawahi kuona miaka ya nyuma na nafahamu vipimo vya barabara . msije kuniuliza sana.
Vunja vunja na Bomoa bomoa zimekumba sehemu kubwa ya Old Bagamoyo, hadi nakuja mitamboni, nimeona nyumba nyingi zenye kuta zilizotiwa nakshi nakshi zikiwekwa alama ya hatari.
Hata hivyo sijajua wanapanua barabara au wanatekeleza amri ya kuhifadhi barabara, vivyo hivyo bara bara ya Ali Hassani Mwinyi AKA New Bagamoyo Road, huko ndiko utamkuta Kenja pale Victoria katulia akisubiri kijiko kifanye vituko, hipo pia shule ya aliyekuwa meya wa jiji mzee wa Green Acre , naye kukumbwa zoezi hili, ingawaje yeye bado ana kagorofa kake pale kalikowekewa alama zikafutwa ingawaje jirani yake anayepakana na UWT, kashavunjiwa na kurudi kinyume nyume.
Source ya Habari Nimeona Mwenyewe na Nishawahi kuona miaka ya nyuma na nafahamu vipimo vya barabara . msije kuniuliza sana.