Uchaguzi 2020 Dr Pius Ngwandu alijiuzulu ubalozi ili agombee Ubunge wa jimbo la Maswa

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,591
141,393
Kwa wale Wahenga mnaokumbuka vizuri ni sababu gani za msingi zilimfanya Daktari huyu wa Falsafa kuamua kujishusha cheo?

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pohamba

====

Ana rekodi ya miaka 10 ya kufundisha na miaka 25 ya kutumikia serikali. Katika miaka hii 25, amekuwa mkuu wa mkoa, balozi, na waziri. Aidha, amekuwa mbunge wa jimbo la Maswa, mkoani Shinyanga tangu 1980 hadi 2005 alipoamua kuacha uwakilishi.

Dk. Ng'wandu anaharakisha kukueleza mambo mawili makubwa katika maisha yake yote ya utumishi. Kwanza, utumishi wa umma ni uadilifu na utii. Pili, mtumishi wa umma lazima aamue kuachia ofisi akingali na nguvu na wakati anaowatumikia bado wanampenda.

Mwalimu huyu anaamini kwamba siasa siyo njia pekee ya mtu kuishi. Kutumikia watu kupo kwa namna nyingi; si siasa peke yake.

Dk. Ng'wandu alipata shahada ya kwanza ya Elimu katika Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki (Dar es Salaam).

Alipata Shahada ya Uzamili katika Sosholojia mwaka 1973 kutoka Chuo Kikuu cha Alberta, Canada na baadaye Shahada ya Uzamivu (Ph.D) katika Elimu kwenye Chuo Kikuu cha Stanford, Marekani.

Akiwa mbunge, Dk. Ng'wandu aliamua kusomea sheria na kufaulu kujinyakulia shahada ya Uzamili ya Sheria (LLM) kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT).

Dk. Ng'wandu, alizaliwa 15 Julai 1943 katika kijiji cha Budekwa wilayani Maswa. Alisoma Shule ya Msingi ya Bura wilayani humo na baadaye Seminari ya Nyegezi, nje ya jiji la Mwanza kabla ya kujiunga na Chuo cha Ualimu, Morogoro ambako alirudi kufundisha.

Pamoja na shule nyingine, alifundisha sekondari ya Tosamaganga, Chuo cha Ualimu Kleruu, Iringa; Mwalimu Mkuu Sekondari ya Mpwapwa, Dodoma, Mkuu wa Chuo cha Ualimu Butimba, Mwanza na kiongozi wa elimu wizarani kwa miaka kadhaa hadi kufikia kuwa Mkurugenzi wa Elimu ya Juu.
 
Kwa wale wahenga mnaokumbuka vizuri ni sababu gani za msingi zilimfanya daktari huyu wa Falsafa kuamua kujishusha cheo?

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pohamba
Alikuwa balozi nchini Japan akaja kuwa mkuu wa mkoa Shinyanga baadae akagombea ubunge Maswa akashinda akateuliwa kuwa waziri Kama sikosei Naibu waziri wa elimu ya juu na teknolojia na alikuwa anaishi maeneo ya Sayansi.
 
Huyu jamaa si atakuwa ni rika la kina Mkapa. Nilianza kumsikia siku nyingi sana. Toka enzi za awamu ya kwanza!
 
Kwa wale Wahenga mnaokumbuka vizuri ni sababu gani za msingi zilimfanya Daktari huyu wa Falsafa kuamua kujishusha cheo?

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pohamba

====

Ana rekodi ya miaka 10 ya kufundisha na miaka 25 ya kutumikia serikali. Katika miaka hii 25, amekuwa mkuu wa mkoa, balozi, na waziri. Aidha, amekuwa mbunge wa jimbo la Maswa, mkoani Shinyanga tangu 1980 hadi 2005 alipoamua kuacha uwakilishi.

Dk. Ng'wandu anaharakisha kukueleza mambo mawili makubwa katika maisha yake yote ya utumishi. Kwanza, utumishi wa umma ni uadilifu na utii. Pili, mtumishi wa umma lazima aamue kuachia ofisi akingali na nguvu na wakati anaowatumikia bado wanampenda.

Mwalimu huyu anaamini kwamba siasa siyo njia pekee ya mtu kuishi. Kutumikia watu kupo kwa namna nyingi; si siasa peke yake.

Dk. Ng'wandu alipata shahada ya kwanza ya Elimu katika Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki (Dar es Salaam).

Alipata Shahada ya Uzamili katika Sosholojia mwaka 1973 kutoka Chuo Kikuu cha Alberta, Canada na baadaye Shahada ya Uzamivu (Ph.D) katika Elimu kwenye Chuo Kikuu cha Stanford, Marekani.

Akiwa mbunge, Dk. Ng'wandu aliamua kusomea sheria na kufaulu kujinyakulia shahada ya Uzamili ya Sheria (LLM) kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT).

Dk. Ng'wandu, alizaliwa 15 Julai 1943 katika kijiji cha Budekwa wilayani Maswa. Alisoma Shule ya Msingi ya Bura wilayani humo na baadaye Seminari ya Nyegezi, nje ya jiji la Mwanza kabla ya kujiunga na Chuo cha Ualimu, Morogoro ambako alirudi kufundisha.

Pamoja na shule nyingine, alifundisha sekondari ya Tosamaganga, Chuo cha Ualimu Kleruu, Iringa; Mwalimu Mkuu Sekondari ya Mpwapwa, Dodoma, Mkuu wa Chuo cha Ualimu Butimba, Mwanza na kiongozi wa elimu wizarani kwa miaka kadhaa hadi kufikia kuwa Mkurugenzi wa Elimu ya Juu.
Dr Piu akaamua kuoa binti mdogo sawa na mjuu wake mwaka 2020, November na mwezi december leo 19-12-2020 amefariki dunia.
 
Kwa wale Wahenga mnaokumbuka vizuri ni sababu gani za msingi zilimfanya Daktari huyu wa Falsafa kuamua kujishusha cheo?

Maendeleo hayana vyama!

cc: Pohamba

====

Ana rekodi ya miaka 10 ya kufundisha na miaka 25 ya kutumikia serikali. Katika miaka hii 25, amekuwa mkuu wa mkoa, balozi, na waziri. Aidha, amekuwa mbunge wa jimbo la Maswa, mkoani Shinyanga tangu 1980 hadi 2005 alipoamua kuacha uwakilishi.

Dk. Ng'wandu anaharakisha kukueleza mambo mawili makubwa katika maisha yake yote ya utumishi. Kwanza, utumishi wa umma ni uadilifu na utii. Pili, mtumishi wa umma lazima aamue kuachia ofisi akingali na nguvu na wakati anaowatumikia bado wanampenda.

Mwalimu huyu anaamini kwamba siasa siyo njia pekee ya mtu kuishi. Kutumikia watu kupo kwa namna nyingi; si siasa peke yake.

Dk. Ng'wandu alipata shahada ya kwanza ya Elimu katika Chuo Kikuu cha Afrika Mashariki (Dar es Salaam).

Alipata Shahada ya Uzamili katika Sosholojia mwaka 1973 kutoka Chuo Kikuu cha Alberta, Canada na baadaye Shahada ya Uzamivu (Ph.D) katika Elimu kwenye Chuo Kikuu cha Stanford, Marekani.

Akiwa mbunge, Dk. Ng'wandu aliamua kusomea sheria na kufaulu kujinyakulia shahada ya Uzamili ya Sheria (LLM) kutoka Chuo Kikuu Huria Tanzania (OUT).

Dk. Ng'wandu, alizaliwa 15 Julai 1943 katika kijiji cha Budekwa wilayani Maswa. Alisoma Shule ya Msingi ya Bura wilayani humo na baadaye Seminari ya Nyegezi, nje ya jiji la Mwanza kabla ya kujiunga na Chuo cha Ualimu, Morogoro ambako alirudi kufundisha.

Pamoja na shule nyingine, alifundisha sekondari ya Tosamaganga, Chuo cha Ualimu Kleruu, Iringa; Mwalimu Mkuu Sekondari ya Mpwapwa, Dodoma, Mkuu wa Chuo cha Ualimu Butimba, Mwanza na kiongozi wa elimu wizarani kwa miaka kadhaa hadi kufikia kuwa Mkurugenzi wa Elimu ya Juu.
Mkuu Yohane Mbatizaji, johnthebaptist , thanks for this, RIP Dr. Pius Ng'wandu.
P
 
Jaji Mfawidhi unawajua Wasukuma vizuri au unawasikia? Rafiki yangu Msukuma mkewe binti alikufa. Alikuwa na haki zote za kukabidhiwa mali. Lakini kwenye mirathi ndugu za mume waligoma wekasema "HAKA KABINTI KATAOLEWA HATUWEZI KUKAPA HAYA MAMALI MAANA YATAKUWA YA MUOAJI"! Chezea Wasukuma!
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom