Dr. Pallangyo, Mbunge mpya Arumeru ashindwa kuuliza swali la nyongeza Bungeni

Sasa inabidi kuwe na ukomo wa umri wa kuwa mbunge, mwisho iwe miaka 49...hawa wazee wakae nyumba wacheze na wajukuu au waangalie mifugo..Umri ukisonga akili nayo inasongo.
 
Tumpeni mda tu atajifunza taratibu, uongozi ni kujifunza. Kuna watu humu hata ukiwambie wasimame mbele ya watu hata 10 tu tunaona maajabu ya Dunia.
 
He was nervous like a newbie kid told to present themselves in front of everybody on first day of class. He was stammering and kept forgetting his lines and obviously trembling in his pants. Akiendelea namna anaweza kufa kwa pressure muda si mrefu.
 
Yani huyo mkuu mmoja wa mkoa umeshindwa kumtaja kwenye malalamiko yako ila wengine unawataja mpaka na majina..huo ndio unafki wenyewe mna wambia watu tuandamane wakati mnajijua fika UOGA umewajaa hadi kwenye ulimi..ila kwenye kuandika TU hatujambo.

Ukiamua kutaja watu taja bila uoga,kwani si unaongea ukweli? huyo mkuu mmoja wa mkoa unafkiri hatumjui au? MTAJE ili tujue kweli unamaanisha ukilalamika.

Ndio nyie mnaosemaga Nimepigwa Nimepigwa unaulizwa nani aliekupiga Hutaki kusema unasema NAMWACHIA MUNGU aseee katika dunia ya leo tunataka Front line people wanaoweza andika/kuongea ukweli bila chembe ya uoga ilimradi hawamsingizii mtu.

Achaga uoga siku ingine..

MALALAMIKO YAKO YAMESIKIKA.
Huyo jamaa ni bashite...
 
Mpaka sasa wametafuna mikoa mingapi?
Anakupa hi kwanza!
Mkielezwa%20CCM%20inawenyewe%20afu%20vinajotokeza%20vitoto%20vijinga%20vinaanza%20kuvimbia%20...jpeg
 
Leo katika kipindi Cha maswali na majibu Mhe.Spika alimpa nafasi Mbunge aliyeapishwa leo kwa Jimbo la Arumeru kuuliza swali la nyongeza lakini Mbunge huyu alishindwa kufanya hivyo.

Kwanza alianza kujipongeza yeye na kumpongeza Mhe.Rais kwa kazi nzuri anayofanya, akaendelea kushukuru kwa kuiingia bungeni mara ya kwanza. Akaendelea kutoa pongezi hadi wabunge wenzake wakaanza kumtetea chini chini kuwa ni mgeni na hakujiandaa, mara spika akamkatisha kuokoa jahazi.

Mbunge huyu ni msomi wa PHD, alijipanga muda mrefu kuwa Mbunge lakini akashindwa kwenye kura za maoni na mara ya mwisho akashindwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2015. Hii inaonyesha alijipanga muda mrefu kuwa Mbunge na hivyo kwa usomi wake anapaswa kujua tamaduni za kibunge kupitia kuliona bunge lakini pia kupitia tovuti na machapisho mbalimbali .

Kwa namna alivyoshindwa leo kuuliza swali la nyongeza napata shida kama kweli anajua wananchi wanataka nini. Kitendo Cha kusifia na kujipongeza ni ishara kwamba lipo tatizo la watu kujifunza na kuelewa majukumu ya kazi anayoomba kabla ya kuomba kazi husika.

Muda aliopata toka ateuliwa na tume kuwa Mbunge ulitosha kujisomea, sidhani kama anaweza kuvaa viatu vya mtangulizi wake.......anaonekana kupwaya

Wewe ni dada yangu..hapa umeuonea PHD

Lakini kushindwa siku ya kwanza sio kushindwa..
Tumpe muda sister..Dactari yuko vizurii
 
Niliona video ile nikawasikitikia wabongo! Yani mbunge hata hajui yuko jengo gani wakati yuko bungeni kimwili akili yake iko ikulu!! Alisema mh Rais badala ya mh Spika kweli mimi nilitahayari kuongozwa na akili kama ile! Tunapenda sana maendeleo ila hatujui njia ya kuyafikia! I have a way but not for wazee like him but for kids!
 
Leo katika kipindi Cha maswali na majibu Mhe.Spika alimpa nafasi Mbunge aliyeapishwa leo kwa Jimbo la Arumeru kuuliza swali la nyongeza lakini Mbunge huyu alishindwa kufanya hivyo.

Kwanza alianza kujipongeza yeye na kumpongeza Mhe.Rais kwa kazi nzuri anayofanya, akaendelea kushukuru kwa kuiingia bungeni mara ya kwanza. Akaendelea kutoa pongezi hadi wabunge wenzake wakaanza kumtetea chini chini kuwa ni mgeni na hakujiandaa, mara spika akamkatisha kuokoa jahazi.

Mbunge huyu ni msomi wa PHD, alijipanga muda mrefu kuwa Mbunge lakini akashindwa kwenye kura za maoni na mara ya mwisho akashindwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2015. Hii inaonyesha alijipanga muda mrefu kuwa Mbunge na hivyo kwa usomi wake anapaswa kujua tamaduni za kibunge kupitia kuliona bunge lakini pia kupitia tovuti na machapisho mbalimbali .

Kwa namna alivyoshindwa leo kuuliza swali la nyongeza napata shida kama kweli anajua wananchi wanataka nini. Kitendo Cha kusifia na kujipongeza ni ishara kwamba lipo tatizo la watu kujifunza na kuelewa majukumu ya kazi anayoomba kabla ya kuomba kazi husika.

Muda aliopata toka ateuliwa na tume kuwa Mbunge ulitosha kujisomea, sidhani kama anaweza kuvaa viatu vya mtangulizi wake.......anaonekana kupwaya
Ndiyo shida ukiwa ccm maana huko wao hujua kusifia au kupiga madili
 
Basi hiyo inatosha kwa Nassari kujipanga tena uchaguzi ujao wa 2020. Huyu Bwana yeye kwakipindi hichi angekaa kimya ndani ya mjengo a watch moview kwa wabunge wenzie ili sasa bada ya 2020 ndo aanze kuuliza swali.
 
Sijabahatika kuona hiyo video lakini kama uliyo yaandika hapa ni kweli ,hii ni aibu sana kwa taifa na ni dhahiri kuwa hataweza kuvivaa viatu vya mtangulizi wake.

Tuwe na desturi ya kujisomea na kitembea YouTube tuwapo na nafasi
 
Hu
Leo katika kipindi Cha maswali na majibu Mhe.Spika alimpa nafasi Mbunge aliyeapishwa leo kwa Jimbo la Arumeru kuuliza swali la nyongeza lakini Mbunge huyu alishindwa kufanya hivyo.

Kwanza alianza kujipongeza yeye na kumpongeza Mhe.Rais kwa kazi nzuri anayofanya, akaendelea kushukuru kwa kuiingia bungeni mara ya kwanza. Akaendelea kutoa pongezi hadi wabunge wenzake wakaanza kumtetea chini chini kuwa ni mgeni na hakujiandaa, mara spika akamkatisha kuokoa jahazi.

Mbunge huyu ni msomi wa PHD, alijipanga muda mrefu kuwa Mbunge lakini akashindwa kwenye kura za maoni na mara ya mwisho akashindwa kwenye uchaguzi mkuu uliopita mwaka 2015. Hii inaonyesha alijipanga muda mrefu kuwa Mbunge na hivyo kwa usomi wake anapaswa kujua tamaduni za kibunge kupitia kuliona bunge lakini pia kupitia tovuti na machapisho mbalimbali .

Kwa namna alivyoshindwa leo kuuliza swali la nyongeza napata shida kama kweli anajua wananchi wanataka nini. Kitendo Cha kusifia na kujipongeza ni ishara kwamba lipo tatizo la watu kujifunza na kuelewa majukumu ya kazi anayoomba kabla ya kuomba kazi husika.

Muda aliopata toka ateuliwa na tume kuwa Mbunge ulitosha kujisomea, sidhani kama anaweza kuvaa viatu vya mtangulizi wake.......anaonekana kupwaya
Napenda taratibu za kijapan pale mtu anaposhindwa kuonesha uwezo wa utendaji kazi,alafu unakuta boss ni mtu kama Tagawa.
 
Jamani hii ni aibu, sasa huyu mbunge anaweza kueleza shida kweli za jimbo lake la arumeru mashariki

Jamani kama huelewi video hii hapa tunaenda wapi Tanzania mbona mnatuwekea vilaza bungeni ? Aaaaaaaaah

mamaaaaaa
 
Back
Top Bottom