Huyo jamaani mtu mwenye sifa vibaya mnoNamzungumzia dr wa binadamu Gynocologist ngwale aliyewahi kukaimu ukurugenzi hospital ya taifa muhimbili miaka iliyopita kidogo. nimeuliza kwa sababu kila alipo rais magu naye yupo pembeni anafanya kazi gani ikulu ?kazi ya kitabibu au ?