Hahahaaa jobless kama wwHana impact gani nchini... , toka kuanza kwake siasa za nchii.. hawa si ndiyo wake magwigi wa ufisadi nchini..
By the way now ni jobless...for sure
Sent using Jamii Forums mobile app
Anaogopwa na nani na kwa kwanini anaogopwa?Mtu ambaye anaweza kugeuza upepo wa siasa za nchi hii ni Nchimbi na anaogopwa!
Halafu hizo trilioni 1.5 umekuwa ni wimbo wa kila siku ambao hauna ushahidi wowote, ukiwauliza wanaouimba ni wapi imeandikwa kuwa kiasi hicho kiliibiwa au kilipotea au kilitumika kwa miamala isiyojulikana, hawajui; wao walidakiza aliyosema Zitto tu. Kuna mtu mmoja nilimletea ripoti zote za CAG Assad za miaka mitano nikamwuliza anionyeshe ni wapi panapoonyesha upotevu au wizi wa trlilioni 1.5 hakujibu mpaka leo.Pengine ulikuwa hujazaliwa!! Ule mzigo uliotolewa BOT enzi ya marehemu Balali ulikuwa na kilo ngapi? Nchi hii imepigwa sana!!!
Ushahidi upi unatakaHalafu hizo trilioni 1.5 umekuwa ni wimbo wa kila siku ambao hauna ushahidi wowote, ukiwauliza wanaouimba ni wapi imeandikwa kuwa kiasi hicho kiliibiwa au kilipotea au kilitumika kwa miamala isiyojulikana, hawajui; wao walidakiza aliyosema Zitto tu. Kuna mtu mmoja nilimletea ripoti zote za CAG Assad za miaka mitano nikamwuliza anionyeshe ni wapi panapoonyesha upotevu au wizi wa trlilioni 1.5 hakujibu mpaka leo.
labda kama ni mshirikina
Dr. Nchimbi si ndiye aliogonza kundi la wahuni wa kumdiss Kikwete wakati wa mkutano mkuu wa CCM wakimtaka Lowassa!!?Usinulize kwanini na hasa kwa nini wakati huu.
The man is smart, Energetic , Master mind, Planner nk...
Na sasa wale wapinzani wa Mama Samia hesabuni Maumivu.
Sio lazima ateuliwe anaweza kuwepo tuu background na kila kitu kikaenda. Tunaomfahamu tangu akiwa UVCCM had uwaziri hatuna shaka nae. Mlioanza siasa awamu ya tano hamumjui Kaeni kimya
2025 tunakwenda na Mama Samia
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Hahahaaa jobless kama ww
Si Kama jamaa wa Chato alivyokua anapiga na wale wakina MAYANGA tu.Ndio CCM hio.Nape anajua sana ufisadi wa Nchimbi ukiwemo wizi wa fedha za kujenga hilo ghorofa la vijana hapo Kisutu ambapo Huyu Nchimbi alikula na Subash Patel [ Esteem constructio] ndugu ya mkwere!!
Una uhakika na haya unayosema? Toka lini nguvu za binadamu kama mimi na wewe zikawa hivyo unavyosema? Tuwe na kiasi. Tunamzibia riziki huyu mzee aliyetishia kutoka ndani ya mkutano mkuu sababu mgombea wake ameachwaUsinulize kwanini na hasa kwa nini wakati huu.
The man is smart, Energetic , Master mind, Planner nk...
Na sasa wale wapinzani wa Mama Samia hesabuni Maumivu.
Sio lazima ateuliwe anaweza kuwepo tuu background na kila kitu kikaenda. Tunaomfahamu tangu akiwa UVCCM had uwaziri hatuna shaka nae. Mlioanza siasa awamu ya tano hamumjui Kaeni kimya
2025 tunakwenda na Mama Samia
Rais Samia
#KAZI IENDELEE
Si Kama jamaa wa Chato alivyokua anapiga na wale wakina MAYANGA tu.Ndio CCM hio.
Hii hoja Haina upande soma tenaUna uhakika na haya unayosema? Toka lini nguvu za binadamu kama mimi na wewe zikawa hivyo unavyosema? Tuwe na kiasi. Tunamzibia riziki huyu mzee aliyetishia kutoka ndani ya mkutano mkuu sababu mgombea wake ameachwa
Hii hoja Haina upande soma tenaUna uhakika na haya unayosema? Toka lini nguvu za binadamu kama mimi na wewe zikawa hivyo unavyosema? Tuwe na kiasi. Tunamzibia riziki huyu mzee aliyetishia kutoka ndani ya mkutano mkuu sababu mgombea wake ameachwa
Assumption