johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,616
- 141,447
Waziri wa fedha mh Mwigulu Nchemba alisema Bungeni kwamba bado miradi mikubwa ya Bwawa la umeme na SGR inahitaji fedha hivyo siyo vema kuchukua mikopo kwa sasa.
Dkt. Mwigullu amesema ni dhambi kubwa kuwarithisha madeni watoto wetu kwani watahoji kama tulikuwa hatuna hela kwanini tumejenga bwawa na SGR?
Dkt. Mwigullu Nchemba alilisihi bunge kwamba miradi ya sasa igharamiwe na kizazi hiki hiki ili tuwape furaha watoto wetu baadae na ndio maana ikaanzishwa kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu na laini zake.
Chanzo: Kutoka Bungeni
Dkt. Mwigullu amesema ni dhambi kubwa kuwarithisha madeni watoto wetu kwani watahoji kama tulikuwa hatuna hela kwanini tumejenga bwawa na SGR?
Dkt. Mwigullu Nchemba alilisihi bunge kwamba miradi ya sasa igharamiwe na kizazi hiki hiki ili tuwape furaha watoto wetu baadae na ndio maana ikaanzishwa kodi ya kizalendo kwenye miamala ya simu na laini zake.
Chanzo: Kutoka Bungeni