johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,904
- 141,853
Waziri wa mambi ya ndani Dr Mwigulu Nchemba ameliagiza jeshi la polisi kuipitia upya mikataba yote ya wazabuni ili kubaini uhalali wake.
Kamishna wa fedha wa jeshi hilo ameahidi kutekeleza agizo hilo kwa wakati na kulitolea ripoti.
Source: Eatv habari!
Kamishna wa fedha wa jeshi hilo ameahidi kutekeleza agizo hilo kwa wakati na kulitolea ripoti.
Source: Eatv habari!