Mpinzire
JF-Expert Member
- Jan 18, 2013
- 7,220
- 12,937
Mbunge wa Iramba, Mwigulu Nchemba amepata ajali ya gari akiwa barabara ya Iringa kuelekea Dodoma.
Amepelekwa hospitali ya Dodoma.
Taarifa za awali zinasema gari lake liligonga Punda barabarani. Mwigulu amekimbizwa Hospitali ya Dodoma kwa ajili ya matibabu.
Taarifa zaidi zitakujia.
Upadate
“Nilikuwa naelekea Singida kwenye kikao cha kamati ya siasa na Wabunge wa mkoa nikiwa natokea Iringa, nilikuwa naongea na simu ghafla wakakatiza punda watatu na sikuwa nimeona na nilishituka tu mara baada ya dereva kutoa ishara ya kwamba kuna kitendo cha hatari”- Mbunge wa Iramba magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba akiongea akiwa Hospitali baada ya kupata ajali ya gari leo
Amepelekwa hospitali ya Dodoma.
Taarifa za awali zinasema gari lake liligonga Punda barabarani. Mwigulu amekimbizwa Hospitali ya Dodoma kwa ajili ya matibabu.
Taarifa zaidi zitakujia.
Upadate
“Nilikuwa naelekea Singida kwenye kikao cha kamati ya siasa na Wabunge wa mkoa nikiwa natokea Iringa, nilikuwa naongea na simu ghafla wakakatiza punda watatu na sikuwa nimeona na nilishituka tu mara baada ya dereva kutoa ishara ya kwamba kuna kitendo cha hatari”- Mbunge wa Iramba magharibi Dkt. Mwigulu Nchemba akiongea akiwa Hospitali baada ya kupata ajali ya gari leo