Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine

View attachment 625580

Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.

Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
[HASHTAG]#hyumani[/HASHTAG] fesi
 
Tuzo yake haihusiani na uwajibikaji kwa principle za ngosha...ukizingua unatemwa kama kawa haijalishi una tuzo ya trump...hapa kazi tuuu
 
Mwenyezi Mungu hamtupi mja wake. Hongera sana kwa juhudi zako the sky should be your limit.

Dikteta uchwara anaona aibu.

View attachment 625580

Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.

Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
 
Tatizo ni kwamba yeye mwenyewe ni majanga tu! Mwizi, muongo, fisadi, utendaji ZERO. Kule China siku nyingi wangekuwa wameshamchapa risasi kwa ufisadi wake. Hapa kwetu wamemkingia vifua hatimaye wamemsukumizia Ikulu.

Tuzo yake haihusiani na uwajibikaji kwa principle za ngosha...ukizingua unatemwa kama kawa haijalishi una tuzo ya trump...hapa kazi tuuu
 
Tatizo ni kwamba yeye mwenyewe ni majanga tu! Mwizi, muongo, fisadi, utendaji ZERO. Kule China siku nyingi wangekuwa wameshamchapa risasi kwa ufisadi wake. Hapa kwetu wamemkingia vifua hatimaye wamemsukumizia Ikulu.

Sawa...ila jamaa anakubalika sana kwa wananchi...inawezekana akapita bila kupingwa 2020....!![/QUOTE]
 
Naniliu za naniliu zao, jiwe walilolikataa waashi saivi linagewa matuzo tu.
Habari gani bashite kipendaroho
Mafanikio hayapimwi kwa elimu uliyo nayo ila hupimwa kwa mali uliyo nayo...kwa hili bashite yupo front line dhidi ya Mwele....Pesa na iheshimiwe
na watu wote
 
Wananchi wasiojitambua kwa wanaojitambua machale yameshawacheza. Na ukiona makombora yanarushwa toka ndani ya MACCM dhidi ya huyu wanajua walibugi. Kinana, Butiku, Msekwa, Makinda, Warioba, Mwinyi na Kikwete wote wamerusha makombora na nadhani kuna wengi tu watafanya hivyo siku za usoni kama mwelekeo wa nchi bado ni madudu matupu.

Sawa...ila jamaa anakubalika sana kwa wananchi...inawezekana akapita bila kupingwa 2020....!!
[/QUOTE]
 
Tatizo ni kwamba yeye mwenyewe ni majanga tu! Mwizi, muongo, fisadi, utendaji ZERO. Kule China siku nyingi wangekuwa wameshamchapa risasi kwa ufisadi wake. Hapa kwetu wamemkingia vifua hatimaye wamemsukumizia Ikulu.


mkuu ukiona gari yoyote nyeupe inapita barabani nipigie simu uniage kabisa . Nitakumiss sana
 
Yule kijakazi wa Sizo aliewekwa wizarani(Afya) anajisikiaje?? Wivu wa kike akamchongea mwanamke mwenzake utadhani wanagombea bwana!!! Angejua mwenzake sasa anatamba bila wasi kusikiliza kila taarifa habari au kujidhalilisha kuvuliwa.......ili uendelee kuwemo! Shame!!! Wengine wana vaaa maternity gown sasa,!! Ili hali wake za watu!! Kisa vyeooo shameeeee
 
View attachment 625580

Dr. Mwele Ntuli Malecela ameshinda tunzo Kyelem 2017 kutoka chuo Kikuu cha Liverpool School of Tropical Medicine kwa mchango wake mkubwa katika kutokomeza magonjwa ya Nchi za kitropic.

Kabla yakuwa mkurugenzi kwenye ofisi za WHO/AFRO Dr Mwele Ntuli Malecela alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Utafiti wa Magonjwa Nchini kabla hajafukuzwa kazi na Rais
Viva Mwele, gap lako NIMR tutalikumbuka
 
Back
Top Bottom