Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 31,275
- 31,401
Sure... ZITA ingempata mtoa madaMpumbafu mkubwa Sana wewe senzi taipu mwanaharamu wewe, mwana mtoka pabaya, mtoto wa nyoka kabisa.
Watalii wanaiogopa Tanzania sasa hivi Kwa Sababu Uhuru wa habari umebinywa kabisa, mkurugenzi wetu maxence yupo jela Kwa uonevu.
Watalii wanaiogopa Tanzania kutokana na kukosa utawala bora na haki za binadamu leo wewe pimbi unaamka na kusema eti anyongwe mtu anayesimamia kweli.
Yeye siyo chizi kusema kuna zika halafu ikose, unyongwe wewe na mapimbi wenzako na familia yako.
Umenikera Sana pimbi wewe.
Yaani unashindwa kuongelea habari za Melo uonevu aliofanyiwa na mafisadi ambao wanataka habari zao zisiandikwe halafu unakuja kumtuhumu shujaa eti anyongwe?
Zika ilikuwepo Uganda, itakosaje Tanzania?
Unataka inee nchi nzima ndo ujue ipo?
hata Kama ni mtu mmoja alionekana anayo ndani ya nchi, tayari inatosha kusema ipo.
Watalii na wawekezaji hawaigopi zika, maana inatibika na ina kinga ila, ila utawala kandamizi na ubinyaji wa habari ndo mambo yanayotisha wageni.