Dr. Mwele ni mhaini wa uchumi, akamatwe

Huyu Doctor alimwambia boss wake wakashauriana? Karopoka, alipaswa kujiridhisha kutoa taarifa kwa Waziri wa afya, Waziri kwa RAIs ndio mpango
Hivi ametumbuliwa kwa kusenacluna zita au kwa kutofuata protokali lakini zita ipo..??
 
Ili kubalance ilitakiwa na ummy mwalimu naye atumbuliwe kwa sababu alikuwepo wakati Dr. Mwele anatangaza na huenda alimpa ok
 
Wakuu Salamu kwenu.
Kwanza nampongeza Rais kumtumbua huyu mama, ZIKA haikutakiwa kutangazwa kienyeji namna ile , akamatwe kwa kulisaliti taifa letu.
Walimwambia a report akimaliza watampa kazi nyingine. Tukisema Magu aombewe tunamanisha. Wapo watu niwahahini nawanafanya kazi ndani ya jamuhuri
 
Wakuu Salamu kwenu.
Kwanza nampongeza Raisi kumtumbua huyu mama, Zika haikutakiwa kutangazwa kienyeji namna ile , akamatwe na anyongwe kwa kulisaliti taifa letu.
ZIKA ipo au haipo? katumbuliwa kwa lipi? mabwana wale, huanza kubisha kwanza tena kwa viapo, lakini mwisho hukubali... LOLIONDO KUUZWA WALIBISHA SANA... ZANZIBAR KUJIUNGA NA OIC WALIBISHA NA WAKALIFUNGIA GAZETI LA MOTOMOTO.

SASA HAYO MAWILI HAYAKUWA NA ATHARI KWENYE AFYA YA WANANCHI.... ZIKA TUKISUBIRI PROKALI TUTAKOKA KWENYE HIYO 15% ILIYOTAMKWA NA DR, ITAKUWA ABOVE 30% WAKATI MABWANA WALE WANAKUBALI UKWELI..

NATAMANI WAGONJWA WA ZIKA WAJITOKEZE WASEME UKWELI HUO KWAMBA UGONJWA UPO TANZANIA
 
Dkt Mwele ni shujaa,
Anakiamini kile anachokisimamia,
Maswala ya Ugonjwa wa Binadamu ukiwapa wanasiasa watangaze watatangaza ndivyo sivyo,
Kuna vitu techniques ambavyo Wanasiasa hawavijui
umenikumbusha kisa cha tezi dume, mwingine alitangaza analo tena tukamdhihaki na kusema ni busha watu wakajitokeza wakamtibu akapona na leo tunae, mwingine akalificha kwenye suruali akatutangazia pale tabora kuwa yeye yuko kheri ila mwenzie ndio mgonjwa leo hatunae nani mjanja hapo? Dr.mwale kasema kuna kaswende sisi tunasema hatuna tena anayetuambia hatuna hata unesi hajawahi pitia na sie tunachekelea nani mjinga hapo? basi huyu jamaa atutangazie kuwa ZIKA ipo ndio tuamini.
 
Hivi mtu unayefikiria vizuri unawezaje kuandika upuuzi huu?
Hujui hiyo siku press release inatoka ummy nae alikuwepo?
Anyongwe kisa we punguani na fake id umeudhika na tafiti yake!
Akili yako hujaitumia vizuri kuelewa. Ivi Mimi na wewe tukiwa tumekaa pamoja unaweza kua ninachokiwaza kichwani kwangu?
 
Hivi kwa mawazo yako mgando wewe mtoa uzi, kweli sisi Tanzania tutakuja piga hatua kimaendeleo? Naunga mkono hoja utafiti uliodai 'kila kwenye watanzania 4 kuna likichaa limoja limetulia'
 
Dr. Mwele is a pure scientist and not a politician

Laiti ungemsikia alivyokuwa anakanusha tena utafiti wake mwenyewe... Kausaliti utafiti wake!! Kanivunja moyo sana huyu doctor... Hata mie before niliona kaonewa, ila sasa nilipomsikia tena akikanusha taarifa yake iliyokuwa wazi kabisa eti anasema alinukuliwa vibaya!! Yani! Hawa watu!
 
Kumbe hiyo ndio Tabia yenu!
Ndio maana watu wanapotea ktk mazingira ya kutatanisha.
Maiti zinakutwa kwenye mito.
Watu wanabambikiwa kesi na kunyimwa dhamana.
Du tutafika kweli?
 
Laiti ungemsikia alivyokuwa anakanusha tena utafiti wake mwenyewe... Kausaliti utafiti wake!! Kanivunja moyo sana huyu doctor... Hata mie before niliona kaonewa, ila sasa nilipomsikia tena akikanusha taarifa yake iliyokuwa wazi kabisa eti anasema alinukuliwa vibaya!! Yani! Hawa watu!
Hilo ndiyo tatizo la tecnocrats kuwa politicians
 
Wakuu Salamu kwenu.
Kwanza nampongeza Rais kumtumbua huyu mama, ZIKA haikutakiwa kutangazwa kienyeji namna ile , akamatwe na anyongwe kwa kulisaliti taifa letu.
Mpumbafu mkubwa Sana wewe senzi taipu mwanaharamu wewe, mwana mtoka pabaya, mtoto wa nyoka kabisa.
Watalii wanaiogopa Tanzania sasa hivi Kwa Sababu Uhuru wa habari umebinywa kabisa, mkurugenzi wetu maxence yupo jela Kwa uonevu.
Watalii wanaiogopa Tanzania kutokana na kukosa utawala bora na haki za binadamu leo wewe pimbi unaamka na kusema eti anyongwe mtu anayesimamia kweli.
Yeye siyo chizi kusema kuna zika halafu ikose, unyongwe wewe na mapimbi wenzako na familia yako.
Umenikera Sana pimbi wewe.
Yaani unashindwa kuongelea habari za Melo uonevu aliofanyiwa na mafisadi ambao wanataka habari zao zisiandikwe halafu unakuja kumtuhumu shujaa eti anyongwe?
Zika ilikuwepo Uganda, itakosaje Tanzania?
Unataka inee nchi nzima ndo ujue ipo?
hata Kama ni mtu mmoja alionekana anayo ndani ya nchi, tayari inatosha kusema ipo.
Watalii na wawekezaji hawaigopi zika, maana inatibika na ina kinga ila, ila utawala kandamizi na ubinyaji wa habari ndo mambo yanayotisha wageni.
 
umenikumbusha kisa cha tezi dume, mwingine alitangaza analo tena tukamdhihaki na kusema ni busha watu wakajitokeza wakamtibu akapona na leo tunae, mwingine akalificha kwenye suruali akatutangazia pale tabora kuwa yeye yuko kheri ila mwenzie ndio mgonjwa leo hatunae nani mjanja hapo? Dr.mwale kasema kuna kaswende sisi tunasema hatuna tena anayetuambia hatuna hata unesi hajawahi pitia na sie tunachekelea nani mjinga hapo? basi huyu jamaa atutangazie kuwa ZIKA ipo ndio tuamini.
d581d573e02781080979cc97cdb6d584.jpg
Eddy, unashanga kutowahi kuwa nesi...?!! Hajawahi kuwa hata mwenyekiti wa tawi kwenye chama lakini ni mwenyekiti wa taifa chama Hivyo wanachama wenzie lazima watashangilia hili la unesi na kumtumbua mtaalamu, kwani kwao yametokea ya uenyekiti wa tawi na uenyekiti taifa
 
Wakuu Salamu kwenu.
Kwanza nampongeza Rais kumtumbua huyu mama, ZIKA haikutakiwa kutangazwa kienyeji namna ile , akamatwe na anyongwe kwa kulisaliti taifa letu.
Avoid being too emotional when you pist your stupid stuf.
Kada said there is zika (impirical data available), another kada said no zika (justification given) and finally, the highest kada kicked out the zika kada.
My take;
Unless you are a kada.... leave the kada to burry their own kada. Take your time.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom