peri
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 2,579
- 1,164
Hongera Dr mwele! Le mutuz ana gundu!
tatizo Le Mutuz kakimbia umande na anpenda usharobaro.
Hongera Dr Mwela.
Hongera Dr mwele! Le mutuz ana gundu!
Hongera Dr mwele! Le mutuz ana gundu!
Hongera Dr mwele! Le mutuz ana gundu!
Wao walipata privilege ya elimu nzuri ndio maana tunapigana kubadili system tuwape pia nafasi watoto wa maskini wa Tanzania
Congrats. Katuwakilishe vema
hii ni post ya mwanjf mwenzetuMimi kiukweli nampenda sana mwl.nyerere,ingawa jamaa mmoja aliniambia kuwa mimi ni mtumwa wa legacy ya mwalimu,nakubali sana iwapo utumwa huo utanipa muda zaidi wa kupata interesting stories za Mwl.
Kama mnakumbuka vema,mwaka 1989,mh.Malecela alikuwa balozi nchini uingereza kabla ya kuitwa mwaka 1990 kuja kukamata nafasi ya waziri mkuu na makamu wa kwanza wa rais Mwinyi.Wakati huo watoto wake wakubwa wa kike,yaani Dr.Mwele, Dr.Seche na Judge Mwendwa walikuwa wanasoma nje ya nchi.Dr mwele akiwa UK,Seche akiwa USA na Mwendwa akiwa chuo cha Birmingham nchini uingereza.
Mzee Malecela alisema kuwa Mwl alifika kwake ubalozini wakati watoto wake wote wakiwa likizo.Wakaitwa mbele za Mwl nakuanza kutambulishwa mmoja baada ya mwingine kwa majina na shughuli au masomo anayofanya.Dakika chache baada ya utambilisho Mwl.alitoa kitambaa na kuanza kufuta machozi kwa muda wa dakika kadhaa.Nikamuuliza mzee Malecela kama mwl. alisema ni nini kilimliza au kama anaweza ku-guess,akasema hajui.Na akakataa kata kata ku-guess.
Jambo hilo lilinishangaza sana,lakini binafsi nilihisi Mwl.alilia kwa sababu ya tofauti alioiona kati ya watoto wake na wa malecela,kielimu na hata kimaisha. Wenzangu mnasemaje?
Hata hivyo nitaendelea kuwaletea yale msiofahamu kuhusu mwl.Nyerere.
Kirefu cha IANPHI ni International Association of Public Health Institues? Mbona N siioni?
inawezakana baba alikuwa donor tu, so chembe chembe za Jumanne aka John zikawemo humokwa bahariaWanaundugu na le mutuzi au majina tu yanafanana.?