Dr. Mwakyembe umekoswa, Hii mara ya pili; Sasa waachie mambo yao!

Mungu amsamehe kwa unafiki wake, ametuchosha na habari ya kusema eti atapasua jipu mara ananywea, kwa sasa huyu jamaa haangaliki, kucha zinadondoka, ngozi inatuna, nywele na vinyweleo vya sehemu zote vinadondoka, kazi kutupa excitement za kutoa siri nakutokutoa siri.

Mimi niliposhindwa kumuelewa ni pale aliposema akitoka India atamwago yote peupe, mara tena eti namwachia mungu, mara ntasema, mara angoje akipone huyu haponi hii sumu waliyoiona baada ya kutobolewa mifupa ni vigumu kutabiri kama kweli imetoka yote maana hata India wamekubali kwamba ilikua kiboko.

PIli nasikia hata huyo dada aliyemshitua kwenye hiyo karamu hapo `mlimani city nasikia ameshauawa. Kwa hiyo huyu bwana hayuko salama kabisa ni ubora tu atuambie anachokijua maana wameshamuwahi, yeye lazima akubali kwamba ni adui wao na hatakuwa rafiki yao. asimame na watanzania na kuomba msamaha pale ambapo alikua tayari kuwasaliiti kwa ajili ya cheo cha unaibu waziri na kuripoti kwa mtu ambaye ni junior kwake ki elimu, experience, ezposure, itikadi na hata utendaji wa kazi.

Watoto wake wadogo anawa risk kwa tamaa za kipumbavu, na kujikomba. Linga uli nyambala bho bhapabi bhako, bhika sosya pa bwasi tusimanye syosya sije pa bwelu, tutakuheshimu, tukujua kwa uhalisia wako,

wabongo bana lini kabla ya kwenda india alisema atatoa siri au ni mavuvuzela ya kibongo yaliyosema?
 
kama dada yule wa mcity ni RIP,dr mbio zianze,akiendkeza tamaa wanamwngzea doz..atakongoroka mpk meno...
Akichelewa kutoka kwa tamaa zake asubiri kuvamiwa na majambazi wa kumtoa Ro***
 
wewe ndo muhusika nini??



mahesabu hayajakosewa na hayakukosewa toka mwanzo....huyu file lake lilifungwa tangu mwaka jana August.....hakuna anayemfikilia tena....na hakuna atakachosema wala kutoa siri ...
 
hofu ni tunda la shetani na mashaka ni ua la pepo
ameshaingia vitani hapaswi kurudi nyuma
kwa muda ulobakia awataje hadharani tena asiitishe waandishi wa habari watammaliza kabla hajaitisha
aandike waraka ajirecord atume ktk vituo vya radio na tv na magazeti.
mpambanaji hupaswi kuogopa kifo hata akiamua kumwaga manyanga walishamharibu
nakulilia sana mwl wangu wa criminal law nashangaa kwann hupractice the reality.
 
jamani mungu amsamehe kwa lipi baya alilofanya. ningekuelewa ungesema mungu awasamehe wale waliomlisha sumu dr mwakyembe.jaribu kuwa makini unapoandika kitu

Unalalanae? hadi useme yeye dhambi hana. Dhambi yake inaweza kuwa ni ile kuficha full report watanzania wako wanahangaika. Labda wangejua JK asingekuwepo saaa hizi na Mafisadi wengine we vipi?
 
Dr Mwakyembe ni wakati wa kujiangalia mwenyewe,Umekoswa na Ajari ukapona,Wamekulisha Sumu bdo upo hai...Sasa mbunge wangu Waachie vilio vyao..
Kwe elimu yako hauna utakachokosa ukiacha Siasa lakini kwa sasa watakuwinda mpaka wa kupate,
Adui 76 kaenda kupewa mafunzo zaidi..
Nachokuomba Imwage Report yako mbele Umma wa TZ then Mrudishie Mkulu uwaziri wake,Rudisha kadi ya chama,Mwaga na ubunge,Rudi kwa Mungu Na ufanye ibada sanaa,Utubu..Mungu atakusamehe.
Ni ushauri mzuri lakini hapo kwenye red umekosea. Mwakyembe hajamkosea Mungu kiasi kwamba asitahili kutubu dhambi. Wanaostahili kutubu ni wale wanaomfanyia ubaya!

Ni vema Mwakyembe aachane na CCM na kuingia Chadema. Tena afanye haraka kwa kuwa wamemkosa safari mbili. sasa safari ya tatu watammaliza!
 
Wakuu samahani mwenye ile picha inayomuonyesha Dr Mwakyembe wakati Mh Samuel Sitta alipomtembelea India atuwekee tafadhali
 
Alichonikera mwakyembe, ni kuulinda ufisadi kwa kusema hawakutaka kuyasema maovu yote ya serikali kwenye ripoti ya richmond kwa ajili ya kuilinda na aibu. Sasa mpiganaji gani huyo kama si mnafiki. Inakula kwake sasa!
 
Wakuu samahani mwenye ile picha inayomuonyesha Dr Mwakyembe wakati Mh Samuel Sitta alipomtembelea India atuwekee tafadhali kuna mtu haamini siasa za bongo zilivyo chafu plz wadau saidieni hilo
 
0 Reactions
Reply
Back
Top Bottom