Prof Mwakyembe hands down.Njozi anaweza kuombwa radhi.
Mkazanie swali letu tuliosisitiza a "fair hearing" on the part of Lowassa na muulize "if justice must not only prevail, but it must also appear to prevail" haoni kwamba uamuzi wao wa kutomhoji Lowassa unaleta walakini, kama siyo kumpa cha kusema Lowassa?
Muulize pia kuhusu the way forward na prosecution, kwamba the people, particularly the "you tube generation" tuna mashaka kuwa kila kitu kitakuwa swept under the carpet na kujiuzulu kwa Lowassa kuwe mwisho wa habari.What will happen na kama asipofungwa si tutakuwa na bad precedent?
Pia muulize kuhusu maelezo yaliyotolewa nje ya kiapo, na kama kiapo kiliapisha kutoa "the truth and the whole truth" na kama ni hivyo kwa nini waliotoa habari potofu wasishtakiwe kwa perjury? Au kuna deal lilitembea? Tume ilirekodi maongezi yao au ina ushahidi gani kwamba yalitokea?
Ahsante