Gwalihenzi
JF-Expert Member
- Oct 21, 2011
- 5,125
- 1,300
Wacha uongo wewe, sema anapigania tabaka lake na rafiki zake mafisadi. Wanaotupigania sisi hawako CCM, huko walishaondoka siku nyingi. Hao waliobaki CCM wanapigania matumbo yao na mahawara zao.Kua na Huruma,kumbuka kinachomtesa kule India ni ktk kutupigania sisi.