Maundumula
JF-Expert Member
- Nov 4, 2010
- 7,553
- 3,070
Tatizo ugonjwa wa Mwakyembe unatumiwa na kina Sitta na group lao kama mtaji wa kisiasa wa kuwachafua watu fulani. Hata Mwakyembe akigundulika kwamba hajanyweshwa au kupakwa au kutegewa sumu au kufanyiwa foul play yeyote bado wakina Sitta na Mwakyembe hawatakuja kutuambia ukweli.
JIulizeni anayeumwa ni Mwakyembe lakini SItta ndio anabeba bango utafikiri yeye ndio anaumwa!!! Hebu tuache siasa za kijinga. NAsubiri kwa hamu nione Sitta na group lao watakavyoangukia pua!!!
JIulizeni anayeumwa ni Mwakyembe lakini SItta ndio anabeba bango utafikiri yeye ndio anaumwa!!! Hebu tuache siasa za kijinga. NAsubiri kwa hamu nione Sitta na group lao watakavyoangukia pua!!!