Dr Mwakyembe hapaswi kuhurumiwa, amevuna alichokipanda

... the tongue of a gossip!!!
Binadamu tuna tofauti kubwa katika uwezo wa kufikiri. Wengine wanafikra kubwa wengine masikini fikra zetu ni ndogo na finu sana. tunapenda sana maneno ya umbea ambayo hayana hakika. Kusema walimuua fulani walimuaa yule, tuwe makini nao, tusishirikiane nao kwani tukiingia humo nasi mwisho wetu unaweza kuwa kama wale wengine. Hizo ni fikra za wambea wenye akili finyu lakini wenye akili wao watakuja kukuambia upande ule mliosema wanauana wamemlisha sumu mwenzetu, wengine katika kundi hilohilo watasema hatujamlisha sumu. Kundi moja kuna waliolishwa na wasiolishwa, lakini waliolishwa hawasemi nani kawalisha na kwa sababu gani kawalisha, hao wala si wambea, wanajua kwa hakika kinachoendelea lakini hawasemi, wanabaki kubishana kalishwa! hajalishwa huku wakisubiri siku za uchaguzi zifike. Wanakuja wanakuambia nichague mimi kwani ndiye niliyesema kalishwa. Masikini watanzania
 
sasa we uliyeweka hii thread unatofauti gani na aliyuosema Masaburi kuwa utakuwa ndio unachotumia kufikiri....unakumbuka kebehi na kurudia neno hilo mara zaidi ya 4 halafu husemi kebehi hizo sana sana umemtaja Ulimwengu, kwani ulimwengu ni nani kwenye siasa ya Tanzania??
Unajaribu kuwa"derail" watu kwa maoni yako hilooooooooooooooooo usidhani hii forum wanaingia ma zero brain mkubwaaaaa!!!!




ni kweli forum hii wanaingia ma-zero brain pia.
 
Binafsi nadhan mwandishi ni mdaku na sio Analyst. Hapa km unadhamira ya dhati ya kuujuza umma juu ya mwakyembe uweke bayana dhambi zake,usiishie na UNAKUMBUKA tu. sisi wananchi kama majaji tunajua mengi mazuri alotufanyia na tunamheshim kwa hayo ndo maana tupo nae pamoja ktk magum yalomfika.
 
Njia iliyotumika kumnyamazisha iwe sahihi au isiwe sahihi imetokana na mfumo ndani ya chamachetu na utaratibu ndani ya mtandao ambao yeye na wenzake waliubariki kabla ya kujua siku moja wangeasi baada ya kunyimwa uwaziri, mkuu, uspika na uwaziri katika kundi lililokosa kulipwa fadhila ndani ya mtandao. Angalau kuhasimiana kwao kumewafanya warudi kwa wananchi ingawa hiyo si dhamira yao na hili ndilo tatizo, hawana dhamira ya dhati hawa ila tu wanatufanya kimbilio wanapoona wanataka kunyongwa kama wao walivyowanyonga wenzao. Hawana jipya, hakuna haja ya kuwahurumia wala kuwategemea kutatua matatizo yetu.


This is turning nasty now! are you sure Dr Mwakyembe participated in commiting murder of those who had some opposing minds to the main CCM mainstream thinking? Why are we turning this social network into a forum of lame unfounded accusations against each other? He has played his part as an individual to serve this country. There are multiple avenues one can serve this country from. His service to this country can't be put on oblivion by such unfounded accusations. These are extremely disturbing comments indeed!
 
kazi kweli kweli!!! Hakuna haja ya kulumbana wakati wahusika wapo! Ni vyema wahusika wakaja kuyapambanua hayo mnayoyatamka
 
Mind yangu inazd kuwa openly lakn nimejawa na ghazabu kwa hii michezo michafu inayofanywa na ccm.Hasa kuwapora watz utajiri wao na kufanya wa kwao.
 
Acha ****** wako, mbona husemi maneno hayo aliyotamka Mwakyembe? Unajua Mwakyembe amecha/aliacha lini kufundisha chuo Kikuu. Tuletee ushahidi. Kama nawe ni mmoja wa MAGAMBA basi hujakosea.
Narudi nyuma miaka kadhaa wakati DR Mwakyembe alipoona siasa inalipa kuliko taaluma alipoamua kukimbia chaki Chuo Kikuu cha Dar es laam na kwenda kugombea ubunge wa Afrika Mashariki. Mwakyembe kwa kutaka kupendwa na chama chake aliyatamka maneno ambayo yalikuwa dhihaka kwa wananchi wa nchi hii, maneno ambayo, yaliidhalilisha taaluma yake, maneno yaliyodhalilisha wasomi na maneno yaliyodhalilisha jumuiya ya chuo kikuu cha Dar es salaam. Aliyasema hayo kwani alijua chama chake kinapenda kuyasikia, na alisema akijua akiyasema hayo atapata nafasi moja ya kuwa mbunge kilaini.

Nakumbuka yote, nakumbuka kila kitu. Nakumbuka hasira za wenye tafakuri nziti zilivyomrukia na kumsuta, alionekana dhahiri anajitongozesha kwa gharama ya wananchi kuumia ili yeye aneemeke. Nakumbuka jinsi alivyomuudhi Jenerali Ulimwengu hata wakaanza kujibizana kwa kalamu na maneno ya vinywani.

Nakumbuka, sijasahau ni Dr Mwakyembe huyu huyu chaguo kipenzi cha CCM. Alishirikiana nao kuwagandamiza wananchi, akataka kwenda mbali kushiriki zaidi kuwagandamiza ili aendelee kufaidi na kuneemeka yeye na familia yake. Alipowekewa kigingi akijifanya yeye na wanafiki wenzake eti wanatetea wananchi. Kumbe wapi wamekutana na kichaka cha simba sasa wanataka sapoti ya kukishinda, wote wao na kile kichaka lengo lao ni kutufanya kitoweo.


Dr Mwekyembe ni mmoja wa watengenezaji mifumo hiyo michafu na ya kinyama ambayo leo imemrudi yeye mwenyewe. Wanajua na wanajuana namna ya kuzitengeneza hizo sumu na kuwalisha sijui kuwagusisha watu. Wameshawau wengine wengi tu leo imefika zamu yao wanapiga kelele.

Wenye kumbukumbu nzuri watakubaliana nami kuwa Mwenyekiti wa CCM alilizungumzi hili katika sherehe za kuzaliwa chama mwaka juzi. Alisema wazi watu ndani ya chama wamehasimiana kiasi cha kushindwa kuachiana glasi mezani.

Hivyo ndivyo siasa za CCM zilivyo na kila mwenye upeo kidogo tu anafahamu hilo achilia mbali DR wa sheria. Ukiwa nao fanya kama wanavyofanya wao na malengo ya chama chao. Uongo, uzandiki, wizi, uzabizabina, kujipendekeza, ulafi, majivuno, dharau na uchafu mwingine mwingi waufanyao. Ukikiuka haya umekiuka miiko, umekuwa msaliti lazima uadhibiwe.

Kuna waliosema chama kimekosa dira na mwelekeo wakakiona cha moto. Kuna alioaga kwenda London eti akirudi awaambie watanzania ukweli kuhusu nchi yao ilivyotafunwa na kubaki makapi, lakini thubutu yake hakurudi. Mifano ni mingi hata ile ya waliotaka kusema ukweli kuhusu jambo fulani wote wamepotea, kuanzia Stan Katabalo mpaka ile tume ya unga wa ngano wa sumu, tume nzima ilipotea. Walipita kulalamika kuwa wanataka kuuliwa hakuna aliyewasikiliza, wakaishia. Yote haya Mwakyemba anayafahamu na bado akaenda kujiunga na kusaidia kutekeleza haya, sasa leo zamu yake anang'aka. Anang'aka nini mwache aone shida wanazopata watanzania wengine ambayo kwa sababu ya yeye na wenzake kujenga mfumo wa kidhalimu kuna watanzania wanakufa kwa kukosa barabara za kuwafikisha mahosipitalini, aone jinsi watanzania wanavyojilundika hospitalini wakisubiri vifo vyao huku wakipozwa na panadol, bora yeye amepelekwa Appolo.

Hili liwe fundisho kwa watu wote wenye kutumia migongo yetu wanyonge kujipatia nafasi ya kujilimbikizia mali na madaraka. Kuna siku madaraka na mali havitatosha sasa wataanza kunyang'anyana walivyopeana kwani kila mtu atataka kumzidi mwenzie. Mbinu zingine zinaposhindikana na msaliti anapoelekea kutoa siri ndipo watarudi kwenye ile mbinu yao ya "Costra Nostra" maiti haisemi.

Dr Mwakyembe na wenzake wasilie kama zamu yao imefika basi wajue kuwa hata wenzao waliowatanguliza walipitia machungu hayo hayo, zaidi wajue kuwa maisha ya watanzania waliootaabika na kufa kwa ajili ya udhalimu wao ni dhaidi ya wao kunyweshwa sumu. Wanavuna walichopanda
 
Watanzania sijui nani alituloga!!!! Bora mnafiki anayetupa angalau kujua yale yanayoendelea katika system kuliko wanao kaa kimya. Kweli kusoma siyo kuelimika. Sasa mwandishi Domokaya ulitaka mwakyembe akufanyie nini?? Kama alikosea alikosea mwanzo aidha kwa kauli ambazo mtu mwingine yeyote anaweza kuitoa.
 
Binafsi nadhan mwandishi ni mdaku na sio Analyst. Hapa km unadhamira ya dhati ya kuujuza umma juu ya mwakyembe uweke bayana dhambi zake,usiishie na UNAKUMBUKA tu. sisi wananchi kama majaji tunajua mengi mazuri alotufanyia na tunamheshim kwa hayo ndo maana tupo nae pamoja ktk magum yalomfika.
Kweli kabisa mkuu!
Wengine huwaga wametumwa kuchafua hali ya hewa, hawana mchango wowote wa maana katika jamii.
 
Kwa kujiunga na siasa mie simlaumu. Namlaumu kwa kuficha baadhi ya findings kwenye kashfa ya Richmond. Nadhani hizo ndizo zitammaliza. Maana kama yeye na swahiba yake Sitta wangeweka mambo yote hadharani, leo tungekuwa na serikali mpya yenye watu wanaojua wanachofanya badala ya hawa mafala na mafisadi wanaotumiwa na wawekezaji kumaliza nchi yetu. Aishie kwa upanga lazima atakufa kwao. Kinachofurahisha ni kwamba CCM wanapoanza kulishana au kupakana sumu ni ushindi kwa wanyonge maana wote ni mafisadi wanaonuka.
 
Narudi nyuma miaka kadhaa wakati DR Mwakyembe alipoona siasa inalipa kuliko taaluma alipoamua kukimbia chaki Chuo Kikuu cha Dar es laam na kwenda kugombea ubunge wa Afrika Mashariki. Mwakyembe kwa kutaka kupendwa na chama chake aliyatamka maneno ambayo yalikuwa dhihaka kwa wananchi wa nchi hii, maneno ambayo, yaliidhalilisha taaluma yake, maneno yaliyodhalilisha wasomi na maneno yaliyodhalilisha jumuiya ya chuo kikuu cha Dar es salaam. Aliyasema hayo kwani alijua chama chake kinapenda kuyasikia, na alisema akijua akiyasema hayo atapata nafasi moja ya kuwa mbunge kilaini.

Nakumbuka yote, nakumbuka kila kitu. Nakumbuka hasira za wenye tafakuri nziti zilivyomrukia na kumsuta, alionekana dhahiri anajitongozesha kwa gharama ya wananchi kuumia ili yeye aneemeke. Nakumbuka jinsi alivyomuudhi Jenerali Ulimwengu hata wakaanza kujibizana kwa kalamu na maneno ya vinywani.

Nakumbuka, sijasahau ni Dr Mwakyembe huyu huyu chaguo kipenzi cha CCM. Alishirikiana nao kuwagandamiza wananchi, akataka kwenda mbali kushiriki zaidi kuwagandamiza ili aendelee kufaidi na kuneemeka yeye na familia yake. Alipowekewa kigingi akijifanya yeye na wanafiki wenzake eti wanatetea wananchi. Kumbe wapi wamekutana na kichaka cha simba sasa wanataka sapoti ya kukishinda, wote wao na kile kichaka lengo lao ni kutufanya kitoweo.


Dr Mwekyembe ni mmoja wa watengenezaji mifumo hiyo michafu na ya kinyama ambayo leo imemrudi yeye mwenyewe. Wanajua na wanajuana namna ya kuzitengeneza hizo sumu na kuwalisha sijui kuwagusisha watu. Wameshawau wengine wengi tu leo imefika zamu yao wanapiga kelele.

Wenye kumbukumbu nzuri watakubaliana nami kuwa Mwenyekiti wa CCM alilizungumzi hili katika sherehe za kuzaliwa chama mwaka juzi. Alisema wazi watu ndani ya chama wamehasimiana kiasi cha kushindwa kuachiana glasi mezani.

Hivyo ndivyo siasa za CCM zilivyo na kila mwenye upeo kidogo tu anafahamu hilo achilia mbali DR wa sheria. Ukiwa nao fanya kama wanavyofanya wao na malengo ya chama chao. Uongo, uzandiki, wizi, uzabizabina, kujipendekeza, ulafi, majivuno, dharau na uchafu mwingine mwingi waufanyao. Ukikiuka haya umekiuka miiko, umekuwa msaliti lazima uadhibiwe.

Kuna waliosema chama kimekosa dira na mwelekeo wakakiona cha moto. Kuna alioaga kwenda London eti akirudi awaambie watanzania ukweli kuhusu nchi yao ilivyotafunwa na kubaki makapi, lakini thubutu yake hakurudi. Mifano ni mingi hata ile ya waliotaka kusema ukweli kuhusu jambo fulani wote wamepotea, kuanzia Stan Katabalo mpaka ile tume ya unga wa ngano wa sumu, tume nzima ilipotea. Walipita kulalamika kuwa wanataka kuuliwa hakuna aliyewasikiliza, wakaishia. Yote haya Mwakyemba anayafahamu na bado akaenda kujiunga na kusaidia kutekeleza haya, sasa leo zamu yake anang'aka. Anang'aka nini mwache aone shida wanazopata watanzania wengine ambayo kwa sababu ya yeye na wenzake kujenga mfumo wa kidhalimu kuna watanzania wanakufa kwa kukosa barabara za kuwafikisha mahosipitalini, aone jinsi watanzania wanavyojilundika hospitalini wakisubiri vifo vyao huku wakipozwa na panadol, bora yeye amepelekwa Appolo.

Hili liwe fundisho kwa watu wote wenye kutumia migongo yetu wanyonge kujipatia nafasi ya kujilimbikizia mali na madaraka. Kuna siku madaraka na mali havitatosha sasa wataanza kunyang'anyana walivyopeana kwani kila mtu atataka kumzidi mwenzie. Mbinu zingine zinaposhindikana na msaliti anapoelekea kutoa siri ndipo watarudi kwenye ile mbinu yao ya "Costra Nostra" maiti haisemi.

Dr Mwakyembe na wenzake wasilie kama zamu yao imefika basi wajue kuwa hata wenzao waliowatanguliza walipitia machungu hayo hayo, zaidi wajue kuwa maisha ya watanzania waliootaabika na kufa kwa ajili ya udhalimu wao ni dhaidi ya wao kunyweshwa sumu. Wanavuna walichopanda
Kama vile unatumia loud speaker kuongea sababu hueleweki kabisa unacholalamikia juu ya mwakembe nini.
 
Narudi nyuma miaka kadhaa wakati DR Mwakyembe alipoona siasa inalipa kuliko taaluma alipoamua kukimbia chaki Chuo Kikuu cha Dar es laam na kwenda kugombea ubunge wa Afrika Mashariki. Mwakyembe kwa kutaka kupendwa na chama chake aliyatamka maneno ambayo yalikuwa dhihaka kwa wananchi wa nchi hii, maneno ambayo, yaliidhalilisha taaluma yake, maneno yaliyodhalilisha wasomi na maneno yaliyodhalilisha jumuiya ya chuo kikuu cha Dar es salaam. Aliyasema hayo kwani alijua chama chake kinapenda kuyasikia, na alisema akijua akiyasema hayo atapata nafasi moja ya kuwa mbunge kilaini.

Nakumbuka yote, nakumbuka kila kitu. Nakumbuka hasira za wenye tafakuri nziti zilivyomrukia na kumsuta, alionekana dhahiri anajitongozesha kwa gharama ya wananchi kuumia ili yeye aneemeke. Nakumbuka jinsi alivyomuudhi Jenerali Ulimwengu hata wakaanza kujibizana kwa kalamu na maneno ya vinywani.

Nakumbuka, sijasahau ni Dr Mwakyembe huyu huyu chaguo kipenzi cha CCM. Alishirikiana nao kuwagandamiza wananchi, akataka kwenda mbali kushiriki zaidi kuwagandamiza ili aendelee kufaidi na kuneemeka yeye na familia yake. Alipowekewa kigingi akijifanya yeye na wanafiki wenzake eti wanatetea wananchi. Kumbe wapi wamekutana na kichaka cha simba sasa wanataka sapoti ya kukishinda, wote wao na kile kichaka lengo lao ni kutufanya kitoweo.


Dr Mwekyembe ni mmoja wa watengenezaji mifumo hiyo michafu na ya kinyama ambayo leo imemrudi yeye mwenyewe. Wanajua na wanajuana namna ya kuzitengeneza hizo sumu na kuwalisha sijui kuwagusisha watu. Wameshawau wengine wengi tu leo imefika zamu yao wanapiga kelele.

Wenye kumbukumbu nzuri watakubaliana nami kuwa Mwenyekiti wa CCM alilizungumzi hili katika sherehe za kuzaliwa chama mwaka juzi. Alisema wazi watu ndani ya chama wamehasimiana kiasi cha kushindwa kuachiana glasi mezani.

Hivyo ndivyo siasa za CCM zilivyo na kila mwenye upeo kidogo tu anafahamu hilo achilia mbali DR wa sheria. Ukiwa nao fanya kama wanavyofanya wao na malengo ya chama chao. Uongo, uzandiki, wizi, uzabizabina, kujipendekeza, ulafi, majivuno, dharau na uchafu mwingine mwingi waufanyao. Ukikiuka haya umekiuka miiko, umekuwa msaliti lazima uadhibiwe.

Kuna waliosema chama kimekosa dira na mwelekeo wakakiona cha moto. Kuna alioaga kwenda London eti akirudi awaambie watanzania ukweli kuhusu nchi yao ilivyotafunwa na kubaki makapi, lakini thubutu yake hakurudi. Mifano ni mingi hata ile ya waliotaka kusema ukweli kuhusu jambo fulani wote wamepotea, kuanzia Stan Katabalo mpaka ile tume ya unga wa ngano wa sumu, tume nzima ilipotea. Walipita kulalamika kuwa wanataka kuuliwa hakuna aliyewasikiliza, wakaishia. Yote haya Mwakyemba anayafahamu na bado akaenda kujiunga na kusaidia kutekeleza haya, sasa leo zamu yake anang'aka. Anang'aka nini mwache aone shida wanazopata watanzania wengine ambayo kwa sababu ya yeye na wenzake kujenga mfumo wa kidhalimu kuna watanzania wanakufa kwa kukosa barabara za kuwafikisha mahosipitalini, aone jinsi watanzania wanavyojilundika hospitalini wakisubiri vifo vyao huku wakipozwa na panadol, bora yeye amepelekwa Appolo.

Hili liwe fundisho kwa watu wote wenye kutumia migongo yetu wanyonge kujipatia nafasi ya kujilimbikizia mali na madaraka. Kuna siku madaraka na mali havitatosha sasa wataanza kunyang'anyana walivyopeana kwani kila mtu atataka kumzidi mwenzie. Mbinu zingine zinaposhindikana na msaliti anapoelekea kutoa siri ndipo watarudi kwenye ile mbinu yao ya "Costra Nostra" maiti haisemi.

Dr Mwakyembe na wenzake wasilie kama zamu yao imefika basi wajue kuwa hata wenzao waliowatanguliza walipitia machungu hayo hayo, zaidi wajue kuwa maisha ya watanzania waliootaabika na kufa kwa ajili ya udhalimu wao ni dhaidi ya wao kunyweshwa sumu. Wanavuna walichopanda

MAFISADI wana nguvu, mtaendeelea kununuliwa sana ili mpotoshe mambo,yaani haiingii akilini mwenzako anaumwa halafu unasema amepanda alichokitaka, huo ni ujinga
.
 
Nimefanya hivyo makusudi, watanzania tunajifanya tunapenda kusahau sana, wenye kumbukumbu na wenye hamu na ari ya kutaka uchambuzi wa kweli na si kufanya ushabiki watatafuta na kufahamu na katika kutafuta huko kutawafanya wamjue zaidi Dr Mwakyembe na kuwajua zaidi wanasiasa wengine wanafiki ambao hawana lengo lolote la kuwasaidia watanzania bali kuwatumia. Ukiwa makini utataka kujua zaidi kuliko kusubiri kuambiwa. Mangapi umeshaambiwa mengi na umeyasahau hapo hapo bila kuyafanyia kazi? Ukitafuta utakumbuka na utataka kujua zaidi.
***
Kweli wewe domo kaya.
 
huna jipya na kwa mtazamo wangu wewe kama huna chuki binafsi basi ni miongoni mwa walio fanikisha mpango wa kumwekea sumu. katika maelezo yote hujaonesha huo msitu wenye vigingi kwa mwakyembe ni akina nani ili na sisi
tuwapime usafi wao katika siasa za TANZANIA na utumishi wa umma kwa ujumla.kumbuka hakuna mtu asiye na maadui,
hata watu wazuri, wapole, wanyenyekevu, wacha MUNGU nao wana maadui na pengine hata bila sababu za msingi.SI SHANGAI KUONA UMEPOTEZA MUDA MWINGI KUANDIKA MAMBO YASIO NA MAANA KWA CHUKI ZAKO TU KWA MWAKYEMBE.AKIPONA BILA SHAKA UTATESEKA MOYONI SANA.HAKUNA MTU MWENYE HAKI YA KUPOTEZA UHAI WA MTU MWINGINE KWA SABABU YOYOTE ILE NA WALIOMPA SUMU MH MWAKYEMBE HASIRA ZA MWENYEZI MUNGU ZITAWARUDIA.
 
Kauli ya kuwa Mwakyembe amevuna alichopanda ...inahitaji tafakuri ..kuweza kumuelewa mleta hoja.........,kwa wale wanaojuwa sheria za kijasusi .."...wanajuwa there is always a price to pay when you agree to be used ...".....

Ukiangalia historia ya mwakyembe ..siku zote amejitambulisha ...kama mzalendo na hatuna shaka juu ya hilo...hata mtakumbuka alipokuwa mjumbe wa bodi ya NBC alipata kujitoa kupinga mambo yaliyokuwa yanafanyika kinyume.....

Kosa kubwa alilofanya Mwakyembe kwenye sakata la tume yake ...ni kukubali kutumika na kikwete kwa kujuwa au kutokujuwa.....,mkikumbuka kwenye ripoti yake aliyosema hili pia alilitaja.."baadhi ya mambo kwenye ripoti yangu sintayasoma yote " ......kimsingi aliichuja ripoti yake ili kuepuka kumu implicate rais na amiri jeshi mkuu..........hili kwa upande mwingine lilikuwa jambo jema kwa usalama wa nchi...lakini kitendo cha kwenda hewani kuwa kuna mambo ameyaficha ..kinaweza kuwa lilitafsiriwa na Jk na wenzake ...kuwa mbeleni mwakyembe angeweza kuwajeuka na kuwafanyia blackmail.........
Kitu cha kwanza rais kufanya kilikuwa kumuweka Mwakyembe karibu naye ili asije akamgeuka......[kumbukeni uhusiano wa mwakyembe na serikali kabla ya ile tume haukuwa mzuri sana.alikuwa mpinzani mkubwa]........

Tume ya mwakyembe ilimfanya akawa na maadui wa aina mbili ...
ADUI wa kwanza kundi la Lowassa..ambao wanaamini kuwa Mwakyembe tume yake ilitumika kumuuwa Lowassa kisiasa.....
ADUI Wa pili akawa ni Kikwete mwenyewe ambaye pamoja na kumchekea kote na kumuingiza mwakyembe na makamu wake engineer manyanya stella serikalini....hajapata kuamini kuwa mwakyembe angekaa na siri yote hii kwa muda gani....na ilikuwa lazima amfanyie monitoring..........lakini mnajuwa ..what deserve a hostile ....."agent"...!...

Sasa katika makundi mawilli adui wa mwakyembe ..moja adui wa wazi[lowassa]....mmoja adui wa kijino pembe"kikwete"....Tunabaki na swali la yupi aliyekuwa na access ya kumdhuru mwakyembe ..kupitia...taulo na sabuni ndani ya ofisi yake....................na kwa walio uona waraka wajiulize waliotumwa kufanya hivyo ni kina nani na wako wapi....?..kama kweli wapo
 
Domokaya (Mleta hoja) ni Mzushi. Aina hii ya uandishi ni ya kizushi. Anaonyesha ana upeo mdogo sana wa kuelewa mambo. Wakati ule Mwakyembe alitofautiana na wengi hasa waandishi kuhusu Posho za wabunge. Jambo ambalo sio la muhimu kama mleta udaku anavyotaka ieleweke. Inaonyesha huyu ni mwandishi wa Ijumaa wikienda.
Si jambo jema kusubiri mtu apate matatizo ndio uanze kutafuta mabaya yake.
 
Ama kweli wabongo ni mbilikimo wa mawazo na wavivu wa kufikiri.

By wamdawi:
sasa we uliyeweka hii thread unatofauti gani na aliyuosema Masaburi kuwa utakuwa ndio unachotumia kufikiri....unakumbuka kebehi na kurudia neno hilo mara zaidi ya 4 halafu husemi kebehi hizo sana sana umemtaja Ulimwengu, kwani ulimwengu ni nani kwenye siasa ya Tanzania??
Unajaribu kuwa"derail" watu kwa maoni yako hilooooooooooooooooo usidhani hii forum wanaingia ma zero brain mkubwaaaaa!!!!"

Mkuu naona sentensi ya mwisho hapo kabisa UMEJISEMA.
 
Back
Top Bottom