domokaya
JF-Expert Member
- Apr 22, 2010
- 3,545
- 1,719
- Thread starter
- #61
Naheshimu fikra zako lakini nakushauri siku nyingine angalau uujue ukweli kidogo halafu ujenge joha juu yake hata kama itakuwa ya uongo. Unaposema mtu wa makamu wa miaka arobaini hivi na Ushee amesomea shule za kata, ooh unapoteza uhalali wako wa kuaminika. Kama kukumbuka kwako ni kosa na kwa wengine pia hakuna shida kwani hilo ni tatizo la kitaifa kila mtu hataki kukumbuka na unayekumbuka unaonekana mzushi halafu eti watu tunataka mabadiliko bila hata kujijua sisi ni akina nani, tumetoka wapi, sishangai kuona hatujui tunapotaka kwenda. Habari za 2000 na 2002 watu wamezisahau, hawazijui eti wanajiita great thinkers, Lol!Wewe ni tatizo na huhitajiki uwanjani na kauzi kako ka unakumbuka,unakumbuka,unakumbuka,sema watu wakuelewe,ama wewe ni tunda wa zile shule zetu zilizoanzishwa na kaka ENL kwa nguvu nyingi sana....aibu kwelkweli..Umechosha mkuu?