Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 71,277
- 105,478
Kitila,
..hata mimi Dr.Mwakyembe aliniboa sana alivyodai kuna ktk ile Ripoti yake kuna mambo ameyaficha ili serikali isiaibike.
..mimi naamini kuisetiri serikali hii iliyopo hakuwezi kuwa na manufaa kwetu sisi wananchi.
..sasa kama huu ugomvi wa Rostam na Dr.Mwakyembe, unaweza kumlipua Dr.Mwakyembe mpaka kufikia kuropokwa yale aliyoyaficha kwenye ripoti yake basi wacha uendelee.
..mbele ya safari tutaweza ku-deal na Dr.Mwakyembe, lakini kwasasa inaonekana he is the only CCM MP with the courage[to some naivete] to take on Rostam Aziz.
NB:
..Dr.Mwakyembe asisikilize kabisa watu kama Mzee Cygwiyemwishi Malecela ambaye amekuwa kama punching bag huko CCM.
Granted Mwakyembe amepoteza credibility aliyokuwa nayo mwanzo, na hili tumelisema sana kwenye thread ya press conference yake.
Lakini hili haliondoi wingu kubwa la ufisadi linalomkabili Rostam, kwa hiyo mlime Mwakyembe unavyotaka, in the final analysis unakuta kuna ma issue makubwa zaidi yanamkabili Rostam.
Na kama unafanya upembuzi yakinifu kwa kutumia uchumi wa cost benefit/ quantitative analysis, kama unaweka dollar bill kwenye decision making process yako, kama una prioritize issues kutokana na gravity, basi Rostam ni jua wakati Mwakyembe hajafika hata size ya Jupiter.
Not that we are excusing Mwakyembe, but lets do first thing first.
Unaweza hata kusema acha tumtumie Mwakyembe kum dismantle Rostam (au at least to take a good shot at him) na tukimalizana na Rostam tunaweza kumuangalia Mwakyembe naye vizuri.