kagombe
JF-Expert Member
- Mar 1, 2015
- 3,507
- 1,640
Waziri wa katiba na sheria Harrison Mwakyembe alikumbwa na kadhia baada ya kukwama uwanja wa ndege leo hii
Mbona kinunduzi why
Waziri wa katiba na sheria Harrison Mwakyembe alikumbwa na kadhia baada ya kukwama uwanja wa ndege leo hii
Waziri wa katiba na sheria Harrison Mwakyembe alikumbwa na kadhia baada ya kukwama uwanja wa ndege leo hii
Hata angekwama mwaka mzina hapo Airport hakuna shida kwanza hakuna kazi yoyote ya maana anayoifanyaWaziri wa katiba na sheria Harrison Mwakyembe alikumbwa na kadhia baada ya kukwama uwanja wa ndege leo hii
Umeambiwa tatizo ni watu walikuwa wengi hadi safari kuhailishwa??Si chadema wanasema watu hawana hela ya kusafiri na ndege??
Je waliorundikana hapo ni akina nani??
Ndio maana Magufuli amenunua ndege mbili na kuagiza zingine mbili ili kukabiliana na changamoto hii.
Magufuli ana akili sana na anaona mbali
Si chadema wanasema watu hawana hela ya kusafiri na ndege??
Je waliorundikana hapo ni akina nani??
Ndio maana Magufuli amenunua ndege mbili na kuagiza zingine mbili ili kukabiliana na changamoto hii.
Magufuli ana akili sana na anaona mbali
Waziri wa katiba na sheria Harrison Mwakyembe alikumbwa na kadhia baada ya kukwama uwanja wa ndege leo hii
Unaonaje asirudi?Hata angekwama mwaka mzina hapo Airport hakuna shida kwanza hakuna kazi yoyote ya maana anayoifanya
Hakuna ndege ya ATCL inayokwenda MbeyaUzalendo umemshinda? Sasa nani apande mapangaboi yetu kama waziri anataka kupanda fastjet?
Mbeya haziendi...@Mwanyasi we hukuwa mmoja wa wanaoibeza Bombadia yetu?Kwanini hakupanda bombadi?
Ni watanzania wangapi wanauwezo wa kupanda ndege? Nina uwezo wakuingiza milion mbili kwa mwezi lakini nafikiria laki na sitini kwenda mwanza basi ntaenda kwa 45000 ntasevu sh ngapi?Si chadema wanasema watu hawana hela ya kusafiri na ndege??
Je waliorundikana hapo ni akina nani??
Ndio maana Magufuli amenunua ndege mbili na kuagiza zingine mbili ili kukabiliana na changamoto hii.
Magufuli ana akili sana na anaona mbali
Mbeya siyo Tanzania?Mbeya haziendi...@Mwanyasi we hukuwa mmoja wa wanaoibeza Bombadia yetu?
Ni kawaida kwako ambaye sio mheshimiwasana!Tanzania ya Viwanda ninayoitaka ndio hii sasa.Kuna siku siku nilikuwa nasafiri ndege moja na Abdallah Posi ... tulikwama pia mpaka kesho yake tehe tehe ni kawaida....
Ni kawaida kwa wote watanzania kwa sasa!!!!Ni kawaida kwako ambaye sio mheshimiwasana!
zipo mbili tuKwanini hakupanda bombadi?
Du kwa nini unasema hivyo? una hasira na chuki na viongozi wetu kwa nini ndugu?Hata angekwama mwaka mzina hapo Airport hakuna shida kwanza hakuna kazi yoyote ya maana anayoifanya