rallphryder
JF-Expert Member
- Jan 24, 2015
- 3,630
- 1,442
Halaf hawajui tu star tv ishasomeka kwamba ni tv yao so mwana ccm akienda pale ni sawa anawahutubia wana ccm wenzie tu...wangetafuta media zngne ili wafikishe ujumbe kwa watanzania weng zaid
Na ITV ni ya wachaga wanaowania vitalu vya gesi.