Askofu mstaafu Dkt. Mushemba
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dkt. Samson Mushemba alimpongeza Rais Kikwete kwa kufafanua chanzo cha mjadala huo na kusema ni salamu nzuri hasa katika maneno ya Rais kwamba ataruhusu uamuzi wenye maslahi ya Taifa.
Alimshauri Rais Kikwete asilegeze uzi kwenye vita dhidi ya rushwa na kushauri ifanyike bidii ya kupata mbinu mpya na rasmi ya kupambana na wala rushwa wakiwamo wadogo na vigogo.
Alishauri mbinu hizo zitakapo patikana adhabu kwa vigogo wala rushwa na watoa rushwa ziongezwe makali na kuwa mara kumi zaidi ya zile zilizopo sasa.
Akizungumza kwenye hafla hiyo, Askofu Mkuu Mstaafu wa KKKT Dkt. Samson Mushemba alimpongeza Rais Kikwete kwa kufafanua chanzo cha mjadala huo na kusema ni salamu nzuri hasa katika maneno ya Rais kwamba ataruhusu uamuzi wenye maslahi ya Taifa.
Alimshauri Rais Kikwete asilegeze uzi kwenye vita dhidi ya rushwa na kushauri ifanyike bidii ya kupata mbinu mpya na rasmi ya kupambana na wala rushwa wakiwamo wadogo na vigogo.
Alishauri mbinu hizo zitakapo patikana adhabu kwa vigogo wala rushwa na watoa rushwa ziongezwe makali na kuwa mara kumi zaidi ya zile zilizopo sasa.