Geza Ulole
JF-Expert Member
- Oct 31, 2009
- 58,766
- 78,434
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha mambo ya mazoea biashara halali ni zile zinazolipa kodi!Mnapata tabu Sana uchumi wakwenye makaratasi huo... Hata watanzania tunawashangaa huo uchumi unakuwaje kwa 7% huku biashara zinafungwa na mawaziri wanakiri kweli biashara zinafungwa... Sasa Kama huko ndo kukuwa kwa uchumi sawaaaaaaaaaa
Umeshafikia 7.5% tayari!? Duhh! Basi tufanye karibu tutafikia 10% kama ni rahisi hivyo.IMF ni wapuuzi sana, walifikiri tungewachekea, sasa wamefyata mkia kwa aibu
AfDB wenyewe wanawashangaa hizo takwimu wamezitoa wapi wakati wenyewe wanajua Tanzania uchumi unakua kwa 7.5%
Endelea kupika takwimu ili mjifurahishe mko juu ya Kenya while yr people are starving,no money to finance projects and yr ministers are admitting the economy is getting worseIMF ni wapuuzi sana, walifikiri tungewachekea, sasa wamefyata mkia kwa aibu
AfDB wenyewe wanawashangaa hizo takwimu wamezitoa wapi wakati wenyewe wanajua Tanzania uchumi unakua kwa 7.5%
Sumbawanga wazima?Endelea kupika takwimu ili mjifurahishe mko juu ya Kenya while yr people are starving,no money to finance projects and yr ministers are admitting the economy is getting worse
You will never beat Kenya regardless how much you cook yr data
This fool thinks we are competing with kenya. Sasa Kenya si ni takataka failed state, you are neither our role model nor competitor. We after something bigger, the people's welfare, tanzanians.Endelea kupika takwimu ili mjifurahishe mko juu ya Kenya while yr people are starving,no money to finance projects and yr ministers are admitting the economy is getting worse
You will never beat Kenya regardless how much you cook yr data
Biashara zilizpfingwa ni 16,400, na zilizofunguliwa ni 143,000, waziri ametoa hiyo idadi, mbona unamnukuu waziri upande mmoja?.Mnapata tabu Sana uchumi wakwenye makaratasi huo... Hata watanzania tunawashangaa huo uchumi unakuwaje kwa 7% huku biashara zinafungwa na mawaziri wanakiri kweli biashara zinafungwa... Sasa Kama huko ndo kukuwa kwa uchumi sawaaaaaaaaaa
Na zile ID za wajasiriamali zimeshauzwa za billion 20 na bado zinahitajika zaidi.Biashara zilizpfingwa ni 16,400, na zilizofunguliwa ni 143,000, waziri ametoa hiyo idadi, mbona unamnukuu waziri upande mmoja?.
Hivi duniani watu hawafii?, mbona bado idadi ya watu duniani inazidi kuongezeka pamoja na kwamba kuna watu wanakufa?.
Niliufungua ule uzi na kuusoma baadae, nikabonyeza thanks nikawa napata error, niliporefresh kitu kikaniambia oops.Moderator wa hili jukwaa wapuuzi sana, mmesubiri usiku nimelala mkaja kufuta uzi wangu wa SGR to DRC, coward cunts bastard, rudisheni uzi wangu haraka swain.
No professionalism at all here, mpo kimihemko mpaka mnaboa.
We understand your competitors are Burundi and MalawiThis fool thinks we are competing with kenya. Sasa Kenya si ni takataka failed state, you are neither our role model nor competitor. We after something bigger, the people's welfare, tanzanians.
Mnapata tabu Sana uchumi wakwenye makaratasi huo... Hata watanzania tunawashangaa huo uchumi unakuwaje kwa 7% huku biashara zinafungwa na mawaziri wanakiri kweli biashara zinafungwa... Sasa Kama huko ndo kukuwa kwa uchumi sawaaaaaaaaaa
Kwa rate ya ukuaji wa 5% kenyani GDP imekuwa kutoka $60blm 2014-mpaka $99bln 2018,explain how.Uchumi was Tz unakuwa kwa 7.5% hata Kama Bagamoyo imeishia majini, SGR imekaza vyuma, ATCL yetu tuliambiwa May inaanza safari za Mumbai na Guangzhou ila betri ziliibiwa Sasa nikutafuta mkandarasi was kuzinunulia betri afu Dar no a big swimming pool redeemer