Dr Mollel: MSD ikipokea ODA ya Halmashauri na ikijikuta haina Dawa ijibu ndani ya Saa 24 ili DED akanunue Sekta binafsi!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,779
141,666
Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema Kama MSD ikipokea ODA ya Halmashauri na kujikuta haina Dawa ijibu ndani ya Saa 24 ili DED akanunue Sekta binafsi

Na kama Dawa zipo basi zifike kwenye Halmashauri husika ndani ya Siku 30

Aidha ni marufuku MSD kuagiza/kupokea Dawa kutoka kwa Supplier wao ambazo zimebakiza Muda wa Chin ya miezi 6 ku expire

Dr Mollel alikuwa akiafiki maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya CAG

Source TBC
 
Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema Kama MSD ikipokea ODA ya Halmashauri na kujikuta haina Dawa ijibu ndani ya Saa 24 ili DED akanunue Sekta binafsi

Na kama Dawa zipo basi zifike kwenye Halmashauri husika ndani ya Siku 30

Aidha ni marufuku MSD kuagiza/kupokea Dawa kutoka kwa Supplier wao ambazo zimebakiza Muda wa Chin ya miezi 6 ku expire

Dr Mollel alikuwa akiafiki maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya CAG

Source TBC
Taratibu hazilko hivyo aache ujinga.
 
MSD SIO DAMPO MKUU NI MOJA YA TAASISI INAYOLIPA VIZURI WAFAMASIA TANZANIA WAO NDIO WATU WA MANUNNUZI WA DAWA NA VIFAA TIBA NCHI NZIMA VITU VINGI UNAYOONA HOSPITAL ZA SERIKALI MSD NDIO WANAHUSIKA HALAFU UNAPAITA DAMPO
 
Ila ni kama amoekosea kweli kusema ivyo yeye ndio waziri husika wa sekta iyo halafu anaandika vitu vya ajabu huyu Dr molel bhana
 
Mfumo wa dawa tanzania unaumiza saaana wananchii.yaani ata kama kituo kina hela unaweza kukuta mgonjwa anakufa kwa kukosa vifaa vidogo kama vya shs 300.kwa kweli tanzania elimu haitusaidii kabisaa.Huyu waziri hajuhi kinachoendelea MSD ni jangaaa.
 
Acha lawama wewe ni mzee ?Kuna kifaa gani Cha mia tatu Cha afya unachokijua wewe?acha porojo wewe mkiambiwa mkate bima mnakataa bima Ina umuhimu wake acha kuongea kijinga jinga mzee
 
Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema Kama MSD ikipokea ODA ya Halmashauri na kujikuta haina Dawa ijibu ndani ya Saa 24 ili DED akanunue Sekta binafsi

Na kama Dawa zipo basi zifike kwenye Halmashauri husika ndani ya Siku 30

Aidha ni marufuku MSD kuagiza/kupokea Dawa kutoka kwa Supplier wao ambazo zimebakiza Muda wa Chin ya miezi 6 ku expire

Dr Mollel alikuwa akiafiki maazimio ya Bunge yaliyotokana na Ripoti ya CAG

Source TBC
Hawa jamaa wanajipanga namna ya kupiga pesa
 
MSD SIO DAMPO MKUU NI MOJA YA TAASISI INAYOLIPA VIZURI WAFAMASIA TANZANIA WAO NDIO WATU WA MANUNNUZI WA DAWA NA VIFAA TIBA NCHI NZIMA VITU VINGI UNAYOONA HOSPITAL ZA SERIKALI MSD NDIO WANAHUSIKA HALAFU UNAPAITA DAMPO
Kataa ukubali nchi zetu hizi ni dampo kwa vitu vingi achilia madawa na vifaa tiba..kuna magari nguo n.k

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom