jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hili no swali la mheshimiwa Dr mollel mgombea ubunge wa SIHA kwa wananchi.
Dr mollel anauliza kama kamanda mkuu wa upinzani kamkubali Magufuli ni nani anayeweza kumpinga?
Dr Mollel anasisitiza kuwa yeye aliona mbali na kuamua kumuunga mkono Rais Magufuli.
Hii ni update ya kampeni.
Dr mollel anauliza kama kamanda mkuu wa upinzani kamkubali Magufuli ni nani anayeweza kumpinga?
Dr Mollel anasisitiza kuwa yeye aliona mbali na kuamua kumuunga mkono Rais Magufuli.
Hii ni update ya kampeni.