johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,897
- 141,831
Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema mambo ya hovyo bado yanaendelea sehemu mbalimbali nchini kwa sababu hakuna Dini iliyowahi kumshinda Shetani
Source Star tv
Source Star tv
Hata yeye ana tofauti gani na shetani?Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema mambo ya hovyo bado yanaendelea sehemu mbalimbali nchini kwa sababu hakuna Dini iliyowahi kumshinda Shetani
Source Star tv
Alisaliti chama gani?Hata yeye ana tofauti gani na shetani?
Alisaliti chama akanunuliwa na Polepole ana tofauti gani na shetani,
Alisaliti chama gani?
Ameongelea Bima ya Afya kwa WoteAmeshindwa kuongelea Afya?!
Mmasai dini ndio kwanza anajifunzaNaibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema mambo ya hovyo bado yanaendelea sehemu mbalimbali nchini kwa sababu hakuna Dini iliyowahi kumshinda Shetani
Source Star tv
Huyu sio mzimaIs it only me or someone else has noticed this Mollel looks retarded.
Huyu sio mzimaIs it only me or someone else has noticed this Mollel looks retarded.
Sijaelewa hapo.kwamba hii awamu ina mambo ya hovyo kuliko zote zilizopita?kwamba viongozi wa sasa wanaundugu na shetani?Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema mambo ya hovyo bado yanaendelea sehemu mbalimbali nchini kwa sababu hakuna Dini iliyowahi kumshinda Shetani
Source Star tv
Kwani sheitwani anaishi wapi na kosa lake nini hadi auawe?Naibu waziri wa Afya Dr Mollel amesema mambo ya hovyo bado yanaendelea sehemu mbalimbali nchini kwa sababu hakuna Dini iliyowahi kumshinda Shetani
Source Star tv