kmbwembwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2012
- 10,408
- 7,190
Hawa watu wanastaajabisha haijulikani wanataka nini. Hivi kweli bara wangeweza kuikwamisha znz kwenye mambo yake ya maendeleo kwa kusudi. Katika uchambuzi wazenj badala ya kutupa lawama hebu watafiti kama sio udhaifu wa watendaji wa serikali yao kushindwa ku deal na nchi za nje kuhusu mambo ya uchumi halafu wanalaamu serikali ya muungano.