MJINI CHAI
JF-Expert Member
- Dec 12, 2010
- 2,198
- 1,226
Heshima kwenu wakuu,
leo katika Kata ya Kiwalani kua sherehe ya kuwashukuru wana CCM kata ya Kiwalani kwa kufanikisha na kushinda kwa Uchaguzi Mkuu uliopita ambao ulimfanya Makongoro kuwa Mbunge wa Jimbo jipya la Segerea, hapa naona anechinjwa Ng'ombe na kuna shughuli za kupikapika pia kuna Bia, soda nitawajuza zaidi kinachoendelea hapa pamoja na picha hapo baadae
leo katika Kata ya Kiwalani kua sherehe ya kuwashukuru wana CCM kata ya Kiwalani kwa kufanikisha na kushinda kwa Uchaguzi Mkuu uliopita ambao ulimfanya Makongoro kuwa Mbunge wa Jimbo jipya la Segerea, hapa naona anechinjwa Ng'ombe na kuna shughuli za kupikapika pia kuna Bia, soda nitawajuza zaidi kinachoendelea hapa pamoja na picha hapo baadae