Tusker Bariiiidi
JF-Expert Member
- Jul 3, 2007
- 5,520
- 2,091
Aliyedaiwa kuwa ni "FISADI WA ELIMU" Dr.Milton Makongoro Mahanga amefungua Civil case No.145 ya mwaka 2009 dhidi ya;
1.KAINERUGABA MSEMAKWELI.
2.MUHIBU SAIDI.
3.MANAGING EDITOR,NIPASHE.
4.THE GUARDIAN LTD.
Kesi hiyo itatajwa tarehe 23/03/2010
SOURCE:Tangazo lililopo katika gazeti la Daily News Tar.26/12/2010 uk.20
Natafuta Tusker zangu Bariiiidi!!!...na supu ya pweza...huku nikiisubiria Movie hii kali...
1.KAINERUGABA MSEMAKWELI.
2.MUHIBU SAIDI.
3.MANAGING EDITOR,NIPASHE.
4.THE GUARDIAN LTD.
Kesi hiyo itatajwa tarehe 23/03/2010
SOURCE:Tangazo lililopo katika gazeti la Daily News Tar.26/12/2010 uk.20
Natafuta Tusker zangu Bariiiidi!!!...na supu ya pweza...huku nikiisubiria Movie hii kali...